Mshana Jr ndiye GOAT wa JF

Jamaa ana ID's kibao humu na hii sio mara yake ya kwanza kuanzisha thd ya kujisifia,
Thd zake nyingi ni mambo ya kufikirika tu,uchawi na ushirikina,halafu ukimpiga swali gumu hua hajibu,anawajibu wale aliowashikia akili maswali mepesi mepesi.
Sio mshirikina Wala ni mtu wakaida tu na kampambana sana . Basi
 
Google translator watakwambia Mshana ni mbuzi.. Ghafla sifa inakuwa tusi
 
Jamaa ana ID's kibao humu na hii sio mara yake ya kwanza kuanzisha thd ya kujisifia,
Thd zake nyingi ni mambo ya kufikirika tu,uchawi na ushirikina,halafu ukimpiga swali gumu hua hajibu,anawajibu wale aliowashikia akili maswali mepesi mepesi.
Wivu tu kwan nyuzi c kila mtu anaziona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…