Sijawahi date na makabila tofauti na haya Mpare, muhaya na Mngoni.Hii ni from experience, binamu hivi mpare, mchaga, mkinga, msukuma, mgogo, muha hua mnapata ahueni wapi
Uliwahi kufanyia nini cha maana binamu hiyo helaSijawahi date na makabila tofauti na haya Mpare, muhaya na Mngoni.
Ila kwa me, wote wanatoa hela, ila naona wengine wakiwa wanalalamika kuhusu babee zao wapareee.
Vingiii mbona bina, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uliwahi kufanyia nini cha maana binamu hiyo hela
Malizia sasa mkuu. Utamtendea haki hiyo misifa.Dah.. Jemima Mrembo [emoji173][emoji173][emoji173][emoji2] Huu unaitwa ukweli wa moyo.. Asante kwa misifa kedekede!
Yupo yule mwamba alikuwa against sana na ccm. Sijui yupo kweli yule. Jina limenitokaHivi huyu jamaa kapotelea wapi ana siku nyingi sana huonekani jamvini hata GuDume Naye kapotea kabisa
😂😂😂Tuliokosa huo mvuto wapi tuchangie hoja..😂😂😂
HahahaAchana na Mshana Jr wewe! Huyo mimi namfahamu. Ataishia tu kukupiga kisimo na zongo. Halafu isitoshe ana itikadi za kichadema na ni shabiki wa timu mbovu kama simba!
Nishabikie mimi basi ili nikununulie Range Rover nyekundu.
😂Tanzania ya Vi-wonder
Ajitokeze hadharani tumuoneRamadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
DuuhRamadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
HahahaDah wanawake wanataka pipe Kwa Njia nyingi sana haya kaka mshana kazi kwako!