Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Hii ni from experience, binamu hivi mpare, mchaga, mkinga, msukuma, mgogo, muha hua mnapata ahueni wapi
Sijawahi date na makabila tofauti na haya Mpare, muhaya na Mngoni.

Ila kwa me, wote wanatoa hela, ila naona wengine wakiwa wanalalamika kuhusu babee zao wapareee.
 
Sijawahi date na makabila tofauti na haya Mpare, muhaya na Mngoni.

Ila kwa me, wote wanatoa hela, ila naona wengine wakiwa wanalalamika kuhusu babee zao wapareee.
Uliwahi kufanyia nini cha maana binamu hiyo hela
 
Hivi huyu jamaa kapotelea wapi ana siku nyingi sana huonekani jamvini hata GuDume Naye kapotea kabisa
 
Ajitokeze hadharani tumuone
 
Nasoma huu uzi huku nabubujikwa na machozi kwa wivu aisee,,

Kuna watu wana bahati sana
 
Duuh
 
Siku nikijua kuanzsha thread we mkaka weweeeee utanitambua, popote ulipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…