Mshana jr vs the boss ndo wagombea rasmi wa urais jf

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
 
Mshana jr ataushangaza ulimwengu pale atakapomchagua faiza fox kuwa mgombea mwenza
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji125] [emoji125]
 
The boss anafaa kuwa mshindi ila kwa jinsi mshana jr na kamati yake walivojipanga bila shaka jecha atafanya take!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
 
Sema mnafanya uchaguzi wa kuchagua rais wa jukwaa lako pendwa la chit-chat..

JamiiForums ina bosi mmoja tu na ndiye anayepambana na figisu figisu za serikali
 
Chagua Mshana jr kwa maendeleo ya JF
Chagua Mshana jr ufurahie maisha yako
Chagua Mshana jr kwa masuala ya UTAMADUNISHO😀😀
Twende na Mshana jr
Mshana jr hoyeeeeeee
Kamanda Mshana jr mtampaaaa?
Mshana jr Mshana jr Mshana jr
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji323] [emoji322] [emoji323] [emoji322] [emoji323] [emoji322]
 
Nani msimamizi wa uchaguzi.
Naona mshana jr. anajaza watu kwenye mikutano yake ya kampeni.

Hongera kwa mameneja wa kampeni pande zote mbili maana sijaona kampeni za kuchafuana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…