Cecil J
JF-Expert Member
- Oct 12, 2023
- 434
- 1,024
Ukitamani kupata upeo mpya "exposure" lakini ukaona Serikali imeshindwa kukusaidia kwakuwa haiwezi kimiundombinu jisaidie wewe mwenyewe.Ina maana hao vijana hawatakuwa na maarifa mapya ya kijamii maana wanafahamiana tangu utotoni. Uwezo wa kuchangamana na tamaduni zingine kwao utakuwa mdogo sana.
Huku ndio kuja kuwa na watu wanaoamini vyakula ni Ugali, wali na makande 😂 maana hawajui jambo jipya lolote.
Kuwa mfano wa baba kwenye ndoto zako na za wanao, hakikisha wanapata Elimu bora. Serikali haina mkono mrefu wakumgusa kila mtu.