We unazungumzia past, mi nazungumzia future. Kwa akili ndogo tu we unaona mtu anaweza kuipa ushindi kazi iliyoigwa? Unless hijui maana ya plagiarism, let alone copyright!Inama, tetema,yope, jeje, zote hizo zimekuwa nominated afrimma kwa nyakati tofauti na Kenny kawa nominated afrimma best director mara tatu including mwaka huu na ameshinda mara moja.
Kwani kuiga kosa mkuu??? hicho ni kitu cha kawaida kwenye sanaa.We unazungumzia past, mi nazungumzia future. Kwa akili ndogo tu we unaona mtu anaweza kuipa ushindi kazi iliyoigwa? Unless hijui maana ya plagiarism, let alone copyright!
Recently kijana Nassib ni kama ameishiwa hiviAnatumia muda mwingi kuangalia kazi za wenzake ili apatemo cha ku-Copy. Msanii wenu kaishiwa mashairi sa hizi kachificha kwe vikolabo uchwara na Zuchu
Kwanini anawatelekeza Lavalava za Queen Darleen ataki kufanya nao Kolabo. Kiki ya Mimi Mars imebuma trendng za mademu zimeshamgomea anatapatapata tu
View attachment 1584280View attachment 1584281
Mdanganyeni hivo hivohuyo mondi hata akae mwaka mzima bila kutoa kazi yoyote ata trend tu
Kwa hiyo kama alishinda tetema sasa ye hatungi tena. Anaangalia tu kazi za watu, anaiga concept zao anatoa chupa akisubiri kushinda tena !!! Na we unaona poa tu !!!Kwani kuiga kosa mkuu??? hicho ni kitu cha kawaida kwenye sanaa.
Mbona Kenny ameshinda mwaka jana kama best director kwa video ya tetema ambayo kuna kipande ametumia idea ya Msanii mwingine.
Kutumia idea ya mtu mwingine sio kosa as long as umefuata taratibu.
Kosa liko wapi kama amefuata utaratibu ??? Wanaiga ma director wakubwa tu duniani ajabu nini kwa kenny???Kwa hiyo kama alishinda tetema sasa ye hatungi tena. Anaangalia tu kazi za watu, anaiga concept zao anatoa chupa akisubiri kushinda tena !!! Na we unaona poa tu !!!
Kama ndio hivyo basi kungekuwa hakuna ubunifu kila director ange copy. Chukulia ma director wa nchi zote za africa wa copy ideas za marekani au rest of africa wa copy nigeria kungekuwa na sanaa tena? Au ma director wengine hawajui hii siri nini ya kushinda award?Kosa liko wapi kama amefuata utaratibu ??? Wanaiga ma director wakubwa tu duniani ajabu nini kwa kenny???View attachment 1585237View attachment 1585238View attachment 1585239
Hata mwaka huu kawa nominated kaka acha makasirikoWe unazungumzia past, mi nazungumzia future. Kwa akili ndogo tu we unaona mtu anaweza kuipa ushindi kazi iliyoigwa? Unless hijui maana ya plagiarism, let alone copyright!
Kuna mtu alisema ww huwa hauko serious humu kwahy hata ulichoandika Naona hakipo serious pancho boyKuweka ad's sio uchawi,uchawi ni unaweka ad's kwenye nyimbo aina ya copy and paste ni kujiharibia soko tu. Wcb wangekua na muziki mzuri wangetamba sana africa 1 trending ila sasa ad's zao ni zile kujaza views kuwaziba akina ibra
Na unaweka ad's kwa manufaa yako na sio kushindana na wengine kiasi kwamba mtu akitoa wimbo basi linatumwa kundi kumsakama eti anataka kuiba number 1 trending.
Kiba ana aina yake ya muziki ni kama anataka kuwa karibu na dini yake ila njaa na umaarufu vinamvuta hivyo anashindwa kujipambanua kwenye muziki wa biashara au hobby tu,dharau na majivuno vinamvuta pia
Huyu jamaa anakosolewa sana kwa sababu anafanya kazi na Diamond na hater lakini directors wengi wanatumia idea za watu. Video ya mpaka kesho ya harmonize wamekopi idea ya mdogo mdogo ya Diamond, kushoto kulia wamekopi ya baba lao ulisikia wapi inaongelewa??? kuna thread yoyote imefunguliwa humu kukosoa??? Video ya wezele ya mavoko kakopi on the low ya burnaboy kama ilivyo, nani alikosoa??? Alikiba mwenyewe anakopi sema Diamond ni mti wenye matunda.Kama ndio hivyo basi kungekuwa hakuna ubunifu kila director ange copy. Chukulia ma director wa nchi zote za africa wa copy ideas za marekani au rest of africa wa copy nigeria kungekuwa na sanaa tena? Au ma director wengine hawajui hii siri nini ya kushinda award?
Na baba lao nayo wamecooy kwa yope mbona husemi mmecopy mpka vionjo hahah kweli nyani haoni kunduleHuyu jamaa anakosolewa sana kwa sababu anafanya kazi na Diamond na hater lakini directors wengi wanatumia idea za watu. Video ya mpaka kesho ya harmonize wamekopi idea ya mdogo mdogo ya Diamond, kushoto kulia wamekopi ya baba lao ulisikia wapi inaongelewa??? kuna thread yoyote imefunguliwa humu kukosoa??? Video ya wezele ya mavoko kakopi on the low ya burnaboy kama ilivyo, nani alikosoa??? Alikiba mwenyewe anakopi sema Diamond ni mti wenye matunda.
Hii hoja ya kukopi inatumiwa na haters wa Diamond lakini sio kwamba director wengine hawatumii idea za watu na hilo wala sio kosa as long as umefuata taratibu hasa katika dunia ya sasa ambayo vitu vingi ni marudio.
Sasa hapo u hater wake ukwapi kisa kawaambia ukweli ambapo kila atakayewaambia ni hater..linafiki sana hilo jamaa,sijui linawaogopa???
Mbona hapo kawaambia ukweliKuna mtu alisema ww huwa hauko serious humu kwahy hata ulichoandika Naona hakipo serious pancho boy
Sasa hiki ni nini?Hiyo ndiyo post yake ya kwanza kuiona au sio???nilishakwambia hata haunistui mnafiki mkubwa weweView attachment 1585507
Tunza ndoa yako hapo akizingua huli.Unamchukia na hakujui???na atakukera zaidi,
Tabu inabaki palepale. Bonge la chawa weView attachment 1585511
Na bora umeitaja hiyo tetema wazee wa copy na pasteTetema yope jeje inama gere quarantine n.k zote wamekopi. EnjoyView attachment 1585509
Yeah napata wivu zaidi ili nami nizidi kutafuta niwe kama yeye.Tulia dawa ikuingie h baba,
Kidume kizima unachuki na mafanikio ya mwanaume mwenzako ambaye hata hakujui???
We mwijaku ama???
Na utakerwa zaidi,
Juma lokole sasa ulikuwa unaogopa nini kujitaja?Pamoja sana diva kigagula
Ndio mmefikia huku?[emoji1787][emoji1787] Kwan kila m2 akibaki na team yake shida iko wapi? Mpk mnapeana majina ya mademu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huwezi kumforce binadamu amkubali msanii fulan never... Na kila m2 anamsanii anaemkubali kikubwa kuelewana tu ukiona m2 amekomenti ki team achananayeJuma lokole sasa ulikuwa unaogopa nini kujitaja?