Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,514
Pole mkuu kwa matatizo ila kama vipi mrudie tu maana wewe domo zege hauwez tongoza demu mwingine ndio maana umekimbilia ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]umeolewa wew unaona je akikuchukua wewe
Ndio shida ya kutongozewa ,ishakuwa tabu sasa.Pole mkuu kwa matatizo ila kama vipi mrudie tu maana wewe domo zege hauwez tongoza demu mwingine ndio maana umekimbilia ushauri
Hahaha ndio ivo sasa muache tu apambaneNdio shida ya kutongozewa ,ishakuwa tabu sasa.
Ushauri wako mzuri sana, hata angechukuliwa siku 90 hazifanani na siku 365mchukue mkeo uishi nae ,mke unaye Zaidi ya mwaka kuchukuliwa nje mara 3 tuu ndio umuache yaani Zaidi ya siku 365 unaye wewe .kisha siku 3 tuu yaani mara 3 tuu,ndio red hapana mkuu
Ni rahisi mno kuuvaa uhusika, nimeipokea pole
Asante sanaSinaga ushauri kwa kitu linalocheat kwenye mahusiano, mm sifanyagi huo ujinga nikiwa kwenye mahusiano tamaa zote naweka chini, na ikitokea nikacheatiwa nikajuwa, natoa taarifa asipobadirika basi nafanya maamuzi ya kistaarabu.
Oh kumbe amemsamehe Mara mbili? Its enough. Inatosha maana hata mungu anaona. Mwanamke huyo aondoke mapema apate raha zote anazozitamani, amwache mwanaume wa wa watu sio fungu lake.
Ushauri umetuliaAtafute mwanaume ambaye hachoki kusamehe.Kusamehe huwa hakulazimishwi na hapo wa kushauriwa(ili isiendelee au asirudie ujinga wa kusamehe habitual bitch) ni mwanaume,kwani huyo mwanamke wa aina hiyo utamshauri nini hapo.
Ndio maana nikaja kwenuWewe sema ndo mwanamke wako uyo kumwacha huwezi basi kizaizai !!!.
Hata Mungu akishuka hawezi kuacha kamweSasa analazimisha msamaha huyu vipi? msamaha haulazimishwi. Maambie ame **** up big time , na jama kumsamehe, labda Mungu mwenyewe ashuke aje amtetee. Otherwise mume ndio kaenda hivyo, ajiongeze
Wala hujakosea, akagawe weee na kufia hukohukoAkafie mbele na ukahaba wake
Ndo hapo! Lijitu unalifumania mara tatu bado unakaa nae ndani tu!!!wakushauriwa ni mwanaume sio mwanamke,na ushauri atafute mwanamke mwingine mwenye heshima zake,hivi si mnasemaga wanawake tuko wengi,hasa unashindwaje kufanya maamuzi?lol mwambie aje na mwanamke mwingine aweke hapo ndani,kama huyo mkeo hajasepa kimya kimya.
Uko sahihi 100%Kuna wanaume mazuzu sijapata ona,hivi nikufumanie alafu uniombe msamaha na maisha yaendelee!ndo tatizo la mwanaume kukosa uamuzi binafsi.mwanaume unatakiwa kuwa na maamuzi magumu.nikimfumania mwanamke hata bibi zake wafufuke sitamsamehe kamwe labda Kwa kosa lingine sio hilo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ungeenda kuishi wapi si angekutimua duniani?Mkuu hata angekuwa na dunia hii yote sisamehi kamwe.
Wapo na wengine wanaendelea kuzaliwaAisee kweli wanaume wa namna hii mabwege yaani hawafai kuwepo hawa
DuuhKafumaniwa mara tatu na mumewe ,mara mbili kasamehewa hii mara ya tatu mumewe kagoma kabisa kumsamehe,anasema anaweza kumdhuru hataki hata kumuona, ila mwanamke ni king'ang'anizi analazimisha kusamehewa maisha yaendelee, ushauri wenu tafadhali.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ungeenda kuishi wapi si angekutimua duniani?