Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Hongera sana. Mwaka 2019 utakuwa safi kabisa. Kama tukijipanga vizuri na issue ya Brexit Pesa ipo ya kutosha. Maana tarehe 29.03/2018 kama Muingereza akijitoa rasmi European Union ni kusell pair za GBP mpaka watu watuite vichaa.


BTW hongera sana kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukomae naisubili kwa ham sana hiyo siku siwezi kosa $500 siku hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kuna vitu natamani kushare humu ila naona michosho tu. Natamani mtu aache forex kwa justifiable Reasons na sio blablabla za kujazana ujinga wakati hii ni fursa ambayo naamini vijana wengi kama tungejifunza vizuri ingekuwa ni fursa ya kujiajiri.



Mkuu hapa Tanzania kuna Kijana anamiaka 21, anaishi karikaoo. Ana capital ta USD 30,000. Yaani zaidi ya million 60 za kitanzania. Zote hizo amezipata kwa kujituma kwenye Forex.


Niliwahi kuandika humu hii tabia ya utitiri wa WALIMU uchwara wa forex ndio unaoichafua Forex . WALIMU hawa Wanawaharibu watu kuanzia kwenye psychology kuwa ni Get Rich bussines which is wrong. Zaidi ya 70% ya mafanikio ya Forex ni kwenye psychology. MTU akikuharibu hapo hata ujue mbinu zote za soko ni kazi bure. Kama alivyofanya Ontario kutuambia forex ni mwendo wa kudownload Pesa na baada ya watu kuingia mzigoni wakakuta mambo sio.
.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu share tuone maana hili forex hata sijui nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna group moja la forex jamaa kaelezea mkasa wake huo wa jamaa yako cha mtoto.
Yeye anasema pia alipocheza Mara ya kwanza akala,akachukua 3m akafund account akajilipua usiku asubuhi akakuta acc hoi,kwakua hakujua kosa lake akakopa mtu m kadhaa akazipoteza ikamlazimu kuuza gari take arudishe pesa.
Ukishasikia mtu anasema nimecheza&nacheza forex huyo hajui alitendalo,forex ni serious issue, aichukulie kama anavyosoma chuo.
Huyo jamaa aliuza mpaka tv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Daudi kwa maelezo yako mujarabu, shida hawataki kufanya tafiti hata walioburn account ni uroho wa kutaka kupata faida kubwa kwa muda mchache mwisho wa siku mtu anajitundikia lot size tembo huku mtaji haumlindi na hyo lot aliyoweka, matokeo yake chombo kiienda south tu tayari kinazama!! Hainiingii akilini kufananisha forex na networking marketing. FOREX ni topic kabisa kwa watu wanaosoma Finance katika course za International finance na International trade, kama ingekuwa ni ponzi scheme unadhan benki zingefanya? Unadhani forex ingeorodheshwa miongoni mwa financial markets tool? Elimu, Elimu jamani, na ukishindwa kufanya si kila mtu atashindwa wakuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana. Umeeleza vizuri sana. Ngoja nichambue soko hapa.


Mwisho wa siku maisha ni kuchagua. Siai tumechagua forex (Utapeli) Wengine wachague Betting (Halali) na biashara nyingine halali.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie kuna demu mmoja ana t@ko kweli kweli yaani tunajilia wenye visu tu, unafukua kweli ila alikuwa sio rahisi hadi akujue na pesa, sasa kaanza forex, yaani anatiwa tiwa kama kuku tu, sijui ndio anajazia mtaji zaidi, yaani hafai tena, maana anaongea forex tu anataka kujazia mtaji mkubwa naona forex ishamwingia hadi kwenye amber rutty yake.. Anauza utakavyo..!! [emoji135][emoji139][emoji125][emoji126][emoji179]
Jilieni tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu Jana nilimuomba aweke taarifa au Salio lake la bank na Mimi niweke Salio la account yangu ya Tickmil, aliishia kuniita matusi ya kila namna.


NB. Si kwamba Mimi ni tajiri hapana. Ila Forex inanipa Pesa ambayo naamini kuna watu wanatuita wajinga hawawezi kuipata mpaka watakapopewa Pesa za pensheni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee...!
 
Ushawahi kuchoma account?
Saaaaaana tena saaaaaana saaaaaana. Na zote ambayo iliwahi kuwa na kiasi kikubwa ilikuwa ni usd 37.


Na zote nilizosoma ni pale ninapokuwa na new trading mechanism nataka kuifanyia kazi huwa siijaribu kwenye demo kwani huwa nakosa ile real trading psychology. So huwa naweka Salio kidogo nje ya account kuu then natest mitambo.


Lakini account kuu ambayo naenda na minimal risk management sijaunguza. Namshukuru mungu sina tamaa. Tamaa inawafanya watu wanaunguza saaaaaana. Kuna mtu namfahamu anafanya kazi taasisi kubwa ya serikali huko mbugani. Alianza na capital ya USD 2500 akawa analaza USD 25-70 kwa siku.


Nikamwambia rizika na hiyo amount ukuze mtaji. Akanizunguka akaongeza lot size kutoka 0.04 mpaka 0.90 kwa exness broker. Akapiga na kilaza USD 360 kwa siku. Ukawa ni mchezo wake. Kilichomkuta anajua yeye.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom