interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Zipo nyingi tu hizo biashara, kwani hakuna biashara za kuweka pesa kwenye FIXED ACCOUNT afu ukavuna faida baada ya miezi, mwaka na miaka?Biashara ambayo umeweka tu hela eti unategemea ijizalishe ulitegemea nini kikupate.... hakuna hela rahisi duniani.... hata forex siyo hela rahisi wala haina nature hiyo ya bitclub advantage...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuweka hisa kwenye makampuni kama cigarettes na TBL ukanufaika faida tele kwa muda utaokusudia kwenda kutoa baadaye?
Acha kukariri maisha kijana, amka usingizini maana 2019 ni mwaka wa mafanikio kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app