Josse kongolo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 449
- 990
Tukomae naisubili kwa ham sana hiyo siku siwezi kosa $500 siku hiyoHongera sana. Mwaka 2019 utakuwa safi kabisa. Kama tukijipanga vizuri na issue ya Brexit Pesa ipo ya kutosha. Maana tarehe 29.03/2018 kama Muingereza akijitoa rasmi European Union ni kusell pair za GBP mpaka watu watuite vichaa.
BTW hongera sana kaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu share tuone maana hili forex hata sijui nini.Yaani kuna vitu natamani kushare humu ila naona michosho tu. Natamani mtu aache forex kwa justifiable Reasons na sio blablabla za kujazana ujinga wakati hii ni fursa ambayo naamini vijana wengi kama tungejifunza vizuri ingekuwa ni fursa ya kujiajiri.
Mkuu hapa Tanzania kuna Kijana anamiaka 21, anaishi karikaoo. Ana capital ta USD 30,000. Yaani zaidi ya million 60 za kitanzania. Zote hizo amezipata kwa kujituma kwenye Forex.
Niliwahi kuandika humu hii tabia ya utitiri wa WALIMU uchwara wa forex ndio unaoichafua Forex . WALIMU hawa Wanawaharibu watu kuanzia kwenye psychology kuwa ni Get Rich bussines which is wrong. Zaidi ya 70% ya mafanikio ya Forex ni kwenye psychology. MTU akikuharibu hapo hata ujue mbinu zote za soko ni kazi bure. Kama alivyofanya Ontario kutuambia forex ni mwendo wa kudownload Pesa na baada ya watu kuingia mzigoni wakakuta mambo sio.
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa aliuza mpaka tvKuna group moja la forex jamaa kaelezea mkasa wake huo wa jamaa yako cha mtoto.
Yeye anasema pia alipocheza Mara ya kwanza akala,akachukua 3m akafund account akajilipua usiku asubuhi akakuta acc hoi,kwakua hakujua kosa lake akakopa mtu m kadhaa akazipoteza ikamlazimu kuuza gari take arudishe pesa.
Ukishasikia mtu anasema nimecheza&nacheza forex huyo hajui alitendalo,forex ni serious issue, aichukulie kama anavyosoma chuo.
Kweli usikate tamaanipo kwenye huu mtangane tangia mwaka Jana ila saachi milele pamoja na vitasa ninavyopigwa ila naona kila siku naimprove
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ni uzalishaji mali na Huduma hizi zingine ni majanga tu
Kama Einstein ndo angekuwa na akili hizo basi bado tungekuwa tunavaa magome ya miti....
Safi sana. Umeeleza vizuri sana. Ngoja nichambue soko hapa.Asante Daudi kwa maelezo yako mujarabu, shida hawataki kufanya tafiti hata walioburn account ni uroho wa kutaka kupata faida kubwa kwa muda mchache mwisho wa siku mtu anajitundikia lot size tembo huku mtaji haumlindi na hyo lot aliyoweka, matokeo yake chombo kiienda south tu tayari kinazama!! Hainiingii akilini kufananisha forex na networking marketing. FOREX ni topic kabisa kwa watu wanaosoma Finance katika course za International finance na International trade, kama ingekuwa ni ponzi scheme unadhan benki zingefanya? Unadhani forex ingeorodheshwa miongoni mwa financial markets tool? Elimu, Elimu jamani, na ukishindwa kufanya si kila mtu atashindwa wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na gari
[emoji1] hatari sana siku hiyo.Tukomae naisubili kwa ham sana hiyo siku siwezi kosa $500 siku hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Jilieni tuMie kuna demu mmoja ana t@ko kweli kweli yaani tunajilia wenye visu tu, unafukua kweli ila alikuwa sio rahisi hadi akujue na pesa, sasa kaanza forex, yaani anatiwa tiwa kama kuku tu, sijui ndio anajazia mtaji zaidi, yaani hafai tena, maana anaongea forex tu anataka kujazia mtaji mkubwa naona forex ishamwingia hadi kwenye amber rutty yake.. Anauza utakavyo..!! [emoji135][emoji139][emoji125][emoji126][emoji179]
Aisee...!Kuna mtu Jana nilimuomba aweke taarifa au Salio lake la bank na Mimi niweke Salio la account yangu ya Tickmil, aliishia kuniita matusi ya kila namna.
NB. Si kwamba Mimi ni tajiri hapana. Ila Forex inanipa Pesa ambayo naamini kuna watu wanatuita wajinga hawawezi kuipata mpaka watakapopewa Pesa za pensheni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushawahi kuchoma account?Hivi inakuaje mtu unachoma account ya dola 2000?...___ Mimi siwezi kuchoma hicho kiasi. Never was, Never Will.
Tafuteni maarifa. Learn More Than You Trade.
Sent using Jamii Forums mobile app
$100*365=36,500Mzee baba kumbe tuko pamoja mimi pia natumia tickmill hebu fikilia mtu una uhakika wa $100 kila siku unataka nn japo kuanzia tarehe 15 this month naanza safari ya kutafuta $35000 hadi disemba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kula sharti nawewe uliwe .Mbona humu tunaoneshwa screenshot za watu wanakula $$$ tu?!
yes mkuu ukiwa na uzoefu sio rahis kupoteza helaHivi inakuaje mtu unachoma account ya dola 2000?...___ Mimi siwezi kuchoma hicho kiasi. Never was, Never Will.
Tafuteni maarifa. Learn More Than You Trade.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saaaaaana tena saaaaaana saaaaaana. Na zote ambayo iliwahi kuwa na kiasi kikubwa ilikuwa ni usd 37.Ushawahi kuchoma account?