Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.

mkuu huyo jamaa hana usimamizi mwambie ajiunge hapa na telegram group BRIGHT FOREX TANZANIA INSTITUTE au anicheki ni msaidie bure maana wengi wana unguza bila kujua misingi imara. mpe pole sana
 
Mkuu mbona ni yaleyale tena...mi nikajua unanipa madini kwa ufupi hapa kuhusu pesa inaenda wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unapata tabu tupu..ukitaka kujua uhalisia wa mtu usipate tabu jaribu kurudi nyuma kwenye nyuzi zake.

Huyo dogo anaekulisha vitango pori hapa kuna uzi analalamika hana ajira..baadae kuna uzi mwingine anasema anauza kuku..

Jana akanipostia vile vi random internet pictures za dolla akisema zake..nilivoinua nyuzi zake za nyuma akakimbia mazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaa

Man,play that game maybe can be your chance to be the youngest billioner in Tanzania
 
Wewe ndio daudEURUSD????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaa

Man,play that game maybe can be your chance to be the youngest billioner in Tanzania
Hapana mkuu... Siwezi kabisaa!! Nilijaribu kusoma mara 2 lakini kila nkisoma sielewi.. Mara pip sijui nkasema niombe nipigwe pindi jamaa akatala laki na nusuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo nkajisemea mchezo usiuchezee kabisaaa huu... Yani nitoe pesa nijifunze namna ya kupoteza pesaa tenaa bora nibet tu mkuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MBONA MAMBO YANA ONEKANA TU NA NI SIMPLE. SIJUI HAO WATU WANA CHOMAJE WAKATI UKIWA UNATUMIA RISK MANAGEMENT NI SAFI SANA



 
Sio lazima forex hata kutrade stock kuna faida tena kwa waoga wa kutrade forex you can do stock...tumia volume analysis yaan ni mtelezo tu hivi ugumu ni nin jamn na mbona complications...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…