Nyamagondo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 648
- 765
Ok, mkuu upo Dar au upo country sideMkuu naweza kupata hayo madesa wapi? haya ninayosoma huku tunachanganyana tu sijui utapeli najiuliza inakuaje utapeli wakati unauza na kununua mwenyewe?
Mkuu nimekuomba unifutie hii account yangu naona kimya. Please do needful.Porojo tu.
Sijawahi shiriki biashara ya Forex wala sijawahi amini katika biashara hiyo.
mbona mnapiga watu ban za mwezi halafu baada ya hapo hamwafunguli mnasababisha wanafungua profile nyingine, kama mtu alikosea na kuweka labda link si mnafuta kisha mtu anaendelea na jamii forum kama kawaida. nahisi hilo ni tatizo kubwa sana huku. rafiki yangu mmoja ni victim tokea mwaka jana mwezi wa 9Porojo tu.
Sijawahi shiriki biashara ya Forex wala sijawahi amini katika biashara hiyo.
Si uiache tu ufungue nyingine?Mkuu nimekuomba unifutie hii account yangu naona kimya. Please do needful.
Naomba unifutie hii account please please nakuomba sana. Kama umeweza kujibu hili naomba unijibu ombi langu pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni haki yangu kufutiwa account. Social platform zote kuanzia Facebook, insta, Twitter etc wamewapa users haki ya kufuta account zao.Si uiache tu ufungue nyingine?
Subiri waifunge.Ni haki yangu kufutiwa account. Social platform zote kuanzia Facebook, insta, Twitter etc wamewapa users haki ya kufuta account zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Forex tamu sana....Mwambie awekeze kwanza kwenye ufahamu na maarifa ndio awekeze pesa maana bila kusoma ba kuelewa hii kitu hawezefanikiwa Mimi nimeanza akaunti ya live mbona nampiga tu na hata asubuhi ya Leo nimepiga View attachment 984626
Si uiache tu ufungue nyingine?
Mwambie awekeze kwanza kwenye ufahamu na maarifa ndio awekeze pesa maana bila kusoma ba kuelewa hii kitu hawezefanikiwa Mimi nimeanza akaunti ya live mbona nampiga tu na hata asubuhi ya Leo nimepiga View attachment 984626
Tatizo unajifanya mjuaji sana wakati hata kusoma account haujuiMkuu akaunti balansi yako ilikuwa 101 imeshuka mpaka 20 unasema umempiga? Umempigaje babangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
FOREX sio sehem ya kucheza,mwambie atulize akil na aichululie ni biashara kama biashara zingne lasivyo ataendelea kula za uso tuAlianza kama utani baada ya kurudi likizo ya semister ya mwisho huyu mshikaji wangu wa chuo sijui alikutana na nani huko kwao akamshauri kuhusu mambo ya forex,
Alivyorudi akanisimulia kuhusu hiyo inshu mi nilichomwambia ni kitu kimoja tu hiyo kitu ya forex mi nilishasoma sana mada zake huko Jamii forum kwa kina Ontario na kujua hasara na faida zake kuna watu wameunguza acount zao wanalia kilio cha mbwa koko hakunisikia,
Sasa bhana wale watu aliokutana nao huku wakawa wanamshauri anatoka dom to dar kwenye semina na darasa lao na kila akirudi story ni forex,forex na yeye,
Basi bhana miezi kadhaa imepita baada ya kutrade sana na ile acount ya dermal kafungua real Account kinachomkuta huko mi sijui naona tu kila siku anauza vitu,
Alianza na Laptop yake min, akafata desk top yake ,juzi kati kauza mtungi mkubwa wa gase pamoja na jiko lake, naona kabakiwa na friji pamoja na kitanda na ata hivyo naona analipigia mahesabu friji anataka kuliuza na hilo sasa sijui kimempata nini huko kwenye forex,
Daily nampa ushauri aachane na hiyo biashara yake ya forex naona hanisikii sasa mi nasubiri kuona mwisho wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu achana na hao vichaa wasiojielewa. Mtu kusoma Mt4 tu hawezi. Endelea kulipiga soko mkuu.Tatizo unajifanya mjuaji sana wakati hata kusoma account haujui
Deposits was 50 USD
Profit nimepata 51 USD na balance niliyonayo sasa hivi ni 101 USD
angalia vizuri ni today profit. kama unajua kutumia mt4 ya simu utaelewaMkuu akaunti balansi yako ilikuwa 101 imeshuka mpaka 20 unasema umempiga? Umempigaje babangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajulie wapiangalia vizuri ni today profit. kama unajua kutumia mt4 ya simu utaelewa