Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Porojo tu.

Sijawahi shiriki biashara ya Forex wala sijawahi amini katika biashara hiyo.
mbona mnapiga watu ban za mwezi halafu baada ya hapo hamwafunguli mnasababisha wanafungua profile nyingine, kama mtu alikosea na kuweka labda link si mnafuta kisha mtu anaendelea na jamii forum kama kawaida. nahisi hilo ni tatizo kubwa sana huku. rafiki yangu mmoja ni victim tokea mwaka jana mwezi wa 9

 
Mwambie awekeze kwanza kwenye ufahamu na maarifa ndio awekeze pesa maana bila kusoma ba kuelewa hii kitu hawezefanikiwa Mimi nimeanza akaunti ya live mbona nampiga tu na hata asubuhi ya Leo nimepiga
 
Mwambie awekeze kwanza kwenye ufahamu na maarifa ndio awekeze pesa maana bila kusoma ba kuelewa hii kitu hawezefanikiwa Mimi nimeanza akaunti ya live mbona nampiga tu na hata asubuhi ya Leo nimepiga
 
FOREX sio sehem ya kucheza,mwambie atulize akil na aichululie ni biashara kama biashara zingne lasivyo ataendelea kula za uso tu

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…