Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Anataka aende naye benki amtolee na kapesa kidogo akamfanyie shopping, maana ana jazba km nini vileWe jombaa kweli ni mbishi sana. Jamaa ktk screenshot yake ya mt4 kakuonesha mpaka tarehe na saa alipotrade ila bado ni mbishi tu. Sasa ulikuwa unataka proof gani kutoka kwake ili uamini kama ni kweli.
Nyie ndo rahisi sana kuhadaiwa, ndomana mnapigwa pesa kichwa kichwa, mtu kukuonesha mafanikio yake haimaanishi na wewe utapata mafanikio hayo hayo, akikuonesha leo ana magari na manyumba unajua kwa huko kabla alipoteza nini akaingia madeni kiasi gani, hata anayelima akakwambia mwaka jana nimepiga hekari sita nikapata milioni 400 mauzo unajuaje amehangaikaje, usiangalie mafanikio ya mwisho angalia struggles mkuu, unaweza ukapata siku umetrade slot moja tu ukavuna milioni 100 ila kuna siku ulitrade ukapoteza akaunti nzima na ya jirani, so angalia struggles, not success, utaangukia pua.Hata watu wa bitcoin wanaweza kukuconvice ktkt bitcoin wanakuonesha magari ya kifahari ,mansions,yatchs n.k. ktk biashara. Sasa watu wa forex aje mtu atuone
Hata mtu akitaka kukushauri ulime anaweza kukwambia mwaka jana nilikua na shamba ekari kadhaa nikalima kitu flani nikavuna nikauza nikapata pesa kiasi kadhaa.nikanunua gari au nyumba n.k.
Duuh huyo 50 cent alikuambia ana Mali kiasi ganiDah. Huwa najiuliza watu wa forex wanasifia kila siku. Aje mtu hapa atuambie tangu yupo ktk forex amepata nini?kuna watu duniani kama 50 cent walikua na bitcoin na wana mali nyingi hao wanaweza kukushawishi.
Kifupi watu wa forex aje mtu atuambie ana nn i.e mali,pesa n.k alizopata ktk forex .tofauti na hapo kwa upande wangu naona ni hadithi za kusadikika.
Kwa maana hiyo forex ni kama bahati na sibu?kwa hiyo unastruggle halafu huna uhakika wa kupata kitu inatokea by chance ?kifupi tunaangalia umepata nn na si umehangahika vp.yani unaleta utetezi wa kwamba nimekosa lakini nimefanya kazi sana?hiyo haipo.we checked what u have achieved n not your struggles.Nyie ndo rahisi sana kuhadaiwa, ndomana mnapigwa pesa kichwa kichwa, mtu kukuonesha mafanikio yake haimaanishi na wewe utapata mafanikio hayo hayo, akikuonesha leo ana magari na manyumba unajua kwa huko kabla alipoteza nini akaingia madeni kiasi gani, hata anayelima akakwambia mwaka jana nimepiga hekari sita nikapata milioni 400 mauzo unajuaje amehangaikaje, usiangalie mafanikio ya mwisho angalia struggles mkuu, unaweza ukapata siku umetrade slot moja tu ukavuna milioni 100 ila kuna siku ulitrade ukapoteza akaunti nzima na ya jirani, so angalia struggles, not success, utaangukia pua.
Sent using Jamii Forums mobile app
We mwache tu aitumie wanajifanyaga hawana akili hawaChuoni Kuna jamaa angu ndio anataka atumie hela ya ada eti aizalishe kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ana matatizo ya akiliMkuu hata ukiwekewa magari, nyumba bado hakutakuwa na ushahidi wa moja kwa moja kwamba aliyekupostia hizo mali ni zake au kweli zimetokana na forex. Cha muhimu wewe endelea kuamini kile unachoamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnashindwa kudhibitisha mnachoongea mnaleta hoja dhaifu.imebaki kuonesha graph tu. Tell us what u got thru folex.
Nimejaribu kukuelewesha, unajaribu kubishana, fuatilia kila tajiri unayeona ww amefanikiwa amepitia wapi ndo point yangu, km hujaelewa bado basi kila la heri, sio kila mtu ana akili na busara zinazofanana, wengine mmeumbwa km mlivyo maskini ya Mungu.Kwa maana hiyo forex ni kama bahati na sibu?kwa hiyo unastruggle halafu huna uhakika wa kupata kitu inatokea by chance ?kifupi tunaangalia umepata nn na si umehangahika vp.yani unaleta utetezi wa kwamba nimekosa lakini nimefanya kazi sana?hiyo haipo.we checked what u have achieved n not your struggles.
Nyinyi ndo wale oo mimi nimesoma sana.unaambiwa lete vyeti huna. Lete proof .Nimejaribu kukuelewesha, unajaribu kubishana, fuatilia kila tajiri unayeona ww amefanikiwa amepitia wapi ndo point yangu, km hujaelewa bado basi kila la heri, sio kila mtu ana akili na busara zinazofanana, wengine mmeumbwa km mlivyo maskini ya Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una jazba sana mkuu, upo kwenye zile steps za adolescent nini, maana kupembua huwezi, we ni binadam mwenye akili timamu, ukitaka waliofanikiwa kuna dogo mmoja wa south africa ana historia kabisa kaiweka hadi youtube na ameanzisha trading firm yake, jina lishanitoka, na ameshafanyiwa mahojiano, ameongelea step by step hadi alivyofanikiwa, so look for him, nategemea kama una akili utafanyia kazi sio unicomment utoto, do your homework,Nyinyi ndo wale oo mimi nimesoma sana.unaambiwa lete vyeti huna. Lete proof .
Search sandile shezi, ni dogo wa south msikilize upate proof, km hutamuamini na huyo basi kalime matikiti, ni kilimo chenye utajiri maradufu, heka moja unavuna milioni 300 kwa mauzoNyinyi ndo wale oo mimi nimesoma sana.unaambiwa lete vyeti huna. Lete proof .
Huyu hapa Sandile Shezi akihojiwa na kituo cha CCTV.Nyinyi ndo wale oo mimi nimesoma sana.unaambiwa lete vyeti huna. Lete proof .
Kama na hapo bila bila mi sijui utamweleweshajeHuyu hapa Sandile Shezi akihojiwa na kituo cha CCTV.
Link hii hapa unaweza kwenda kumcheki Live.
Najua Kuna mengi utajifunza huko. Nimekuwekea na picha uone Namna CCTV wamechambua kidogo biashara ya Forex. View attachment 986567
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ni wewe bro...ulikuwa unalala karibu na kinandyeta...Duh
Umejuaje nimemaliza Tabora Boys???
Njoo PM tafadhari.
Si vyema kumwaga taarifa binafsi hapa.
Ni trader mzuri tu.
Naona mnahangaika sana hapa na watu wasiojua hizi habari, wakati hawawezi kuwaelewa.
Kuna technique inaitwa Dual Time Frame momentum, itafute hio ukiielewa ukachanganya na hii ya Quarters theory hutajuta
Mwambie huu msemo wa forex "invest what you can afford to lose"Chuoni Kuna jamaa angu ndio anataka atumie hela ya ada eti aizalishe kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna MTU anayetaka ww ufanye biashara ya forex.Hata matajitri wakitaka watu watoke ktk umaskini huwa wanaeleza walipotoka mpaka walipofika ktk utajiri. Walianzaje ,walifanya nn mpaka wakapata utajiri. Hapa ni sawa sawa na mtu anakwambia nina bilioni moja ipo benki halafu ana maisha ya kawaida tu.
Ili na sisi tuingie ktk forex naomba atokee mtu atueleze tangu alipoanza forex na mafanikio aliyopata mpaka sasa. Unless otherwise watuambie unapata pesa ya kawaida tu ambayo mtu wa kawaida anapata na si kutuaminisha kwambwa forex itakufanya uwe tajiri.hizi usd 6000 ,7000 ni pesa za kawaida kwa mtu anayefanya business.
Shughuli gani siyo bahati na sibuKwa maana hiyo forex ni kama bahati na sibu?kwa hiyo unastruggle halafu huna uhakika wa kupata kitu inatokea by chance ?kifupi tunaangalia umepata nn na si umehangahika vp.yani unaleta utetezi wa kwamba nimekosa lakini nimefanya kazi sana?hiyo haipo.we checked what u have achieved n not your struggles.