Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Achana nao si tupige kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu Jana nilimuomba aweke taarifa au Salio lake la bank na Mimi niweke Salio la account yangu ya Tickmil, aliishia kuniita matusi ya kila namna.


NB. Si kwamba Mimi ni tajiri hapana. Ila Forex inanipa Pesa ambayo naamini kuna watu wanatuita wajinga hawawezi kuipata mpaka watakapopewa Pesa za pensheni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuuliza kwani bitclub advantage ipo regulated na nani? Kwa mfano ww ulipodhulumiwa hela yako malamiko yako ulipeleka wapi?

Mfano kama mimi leo nikidhulumiwa hela yangu na broker wangu. Najua ni wapi kwa kupeleka complaints zangu na hela yangu nikalipwa.... Unless mimi na akili zangu niamue kutrade na broker ambaye hayupo regulated

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba kumbe tuko pamoja mimi pia natumia tickmill hebu fikilia mtu una uhakika wa $100 kila siku unataka nn japo kuanzia tarehe 15 this month naanza safari ya kutafuta $35000 hadi disemba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kabisa Ndugu, lakini jaribu kuwashauri mbinu mbadala si lazima wafanikiwe kupitia channel uliyofanikiwa nayo ww maana "Succsessful Man must have more plans than only one"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba kumbe tuko pamoja mimi pia natumia tickmill hebu fikilia mtu una uhakika wa $100 kila siku unataka nn japo kuanzia tarehe 15 this month naanza safari ya kutafuta $35000 hadi disemba

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana. Mwaka 2019 utakuwa safi kabisa. Kama tukijipanga vizuri na issue ya Brexit Pesa ipo ya kutosha. Maana tarehe 29.03/2018 kama Muingereza akijitoa rasmi European Union ni kusell pair za GBP mpaka watu watuite vichaa.


BTW hongera sana kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ilivyo Tanzania kuna body ya TCRA ambayo kazi yake ni kufuatilia na kuregulate masuala ya mawasiliano nchi nzima. Kufuatilia makampuni ya simu yasitufanyie figisu sisi watumiaji wa mitandao ya simu.


Pale marekani kuna Bodies ambazo kazi yake ni kufuatilia makampuni ya forex yasifanyie figisu sisi wafanya biashara. Nawawekeni picha muone. Jamani hebu tutumieni simu zetu kusoma. Search hizo website msome kazi ya hizo mamlaka.



Hii hapa ni link ya hizo bodies katika nchi tofauti tofauti duniani. https://forextradingstrategies4u.co...ry-bodies-for-forex-regulation/#United_States

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh mwambie forex inawenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Daudi kwa maelezo yako mujarabu, shida hawataki kufanya tafiti hata walioburn account ni uroho wa kutaka kupata faida kubwa kwa muda mchache mwisho wa siku mtu anajitundikia lot size tembo huku mtaji haumlindi na hyo lot aliyoweka, matokeo yake chombo kiienda south tu tayari kinazama!! Hainiingii akilini kufananisha forex na networking marketing. FOREX ni topic kabisa kwa watu wanaosoma Finance katika course za International finance na International trade, kama ingekuwa ni ponzi scheme unadhan benki zingefanya? Unadhani forex ingeorodheshwa miongoni mwa financial markets tool? Elimu, Elimu jamani, na ukishindwa kufanya si kila mtu atashindwa wakuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…