Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Umasikini wako uliosababisha uwe chawa hauhusiani na ChademaMwambie arejeshe fedha za watu alizokuwa anakusanya .lakini pia mbowe katafuna Ruzuku zote za chama mpaka kukiacha chama kikiwa mifupa mitupu.
Nyumba za halali za Viongozi wa Chadema hazijawahi kuwa siri . kwa akili hizo nikionyesha nyumba yangu ya Tandika Mwembeyanga humu bila shaka utataka kuniloga .Kwa habari hii umekengeuka! Si uzi wa kujenga bali kubomoa
Binadamu yeyote aliyekufa kutokana na dua za Wananchi hana uwezo wa kumlaani yeyoteHabari ya mjini sasa hivi ni Paul Makonda hao wahuni ambao familia zao ni raia wa nchi za wazungu wameshapitwa na wakati.
Kwanza Mbowe na Lisu wana laana ya Magufuli
Walianza na Mungu watamaliza na MunguHili tumewahi kuliandika humu na tunarudia tena , kwamba hata Mchawi hawezi kupenya kwenye jambo la pamoja ,mkishaweka msimamo wa pamoja hata iweje hamuwezi kuhujumiwa .
Hiki ndicho kimeifanya ccm iendelee kuitumainia Polisi kwa miaka yote , Chadema ni kisiki cha mpingo
Pichani ni viongozi kadhaa wa Chadema wakiwa kwenye Kasri la Bilionea Freeman Mbowe huko Machame .
View attachment 2811838View attachment 2811839View attachment 2811841
Angalizo : Utajiri siyo dhambi na Wala umasikini au Unyonge hautakufikisha Mbinguni .
HakikaNyumba za halali za Viongozi wa Chadema hazijawahi kuwa siri . kwa akili hizo nikionyesha nyumba yangu ya Tandika Mwembeyanga humu bila shaka utataka kuniloga .
HahahaaBinadamu yeyote aliyekufa kutokana na dua za Wananchi hana uwezo wa kumlaani yeyote
Cdm ni Taasisi yenye ushindi kwenye kila hatua ya ujuaji wake.Chama kiko imala, hiki hakitegemei kuchota pesa za serikali kujiendesha, kinaendeshwa kwa wanachama kwa asilimia kubwa wanaoumia ni watu kama wewe ambao kilasiku wanatalajia chama kitalegea wanastaajabu kinaimalika. Pesa zipo katika usalama ndo mana wanaolalamika pesa za CDM Zinaliwa ni CCM sio Chadema. Yani ndani ya Chadema hakuna malalamiko hoyo.
Naam !Hahahaa
Huyo jamaa sijui kama atarudi ku comment tenaNaam !
Mafanikio lazima utoil.....la sivyo utavuna vya laana
Nadhani zijengwe kwanza ngazi ya kata ,wilaya na mkoa baadae makao makuu ,dodoma na ofisi ndogo makao makuu dsmDuh...!, nimeupenda huo mjengo, maana ukiiangalia huo mjengo na hapo ni kijijini, halafu uki imagine ofisi ya chama pale Ufipa!, ni kama mbingu na nchi!. Nilidhani Elections 2015 - Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio! kumbe I was wrong.
Hakuna ubaya Mwenyekiti Mbowe akajitolea kuwajengea ofisi yenye hadhi Chadema!.
P
Utajiri ni "dhambi" kama unatokana na kupandia migongoni mwa hao unaowaita maskini.Angalizo : Utajiri siyo dhambi na Wala umasikini au Unyonge hautakufikisha Mbinguni .
Sielewi unachozungumzia hapa, maanake umeweka kijumla jumla tu.Hili tumewahi kuliandika humu na tunarudia tena , kwamba hata Mchawi hawezi kupenya kwenye jambo la pamoja ,mkishaweka msimamo wa pamoja hata iweje hamuwezi kuhujumiwa .
Hiki ndicho kimeifanya ccm iendelee kuitumainia Polisi kwa miaka yote , Chadema ni kisiki cha mpingo iliyomwagwa kati yenu na kuanza kuwatafuna taratibu, huku wenyewe mkikana uwepo wa hiyo sumu
Mbinu za kivita hizo!!!Sielewi unachozungumzia hapa, maanake umeweka kijumla jumla tu.
Lakini ninachojua, kwa uhakika ni kwamba mmekwisha ondolewa kwenye lile vugu vugu mlilo wahi kuwa nalo, la kuiondoa CCM madarakani.
Mlisha fanya kazi kubwa sana chini ya mazingira magumu sana, na dalili zilikwisha anza kujionyesha kwamba adhma yenu inaelekea kwenye lengo hilo.
Hayo yalikuwa ni ya wakati huo.
Ya wakati huu, ni dhahri kuna sumu iliyo mwagwa miongoni mwenu, iwatafune taratibu, na kuvuruga mipango ya kuiongoza nchi hii.
Matokeo yake tunayaona, hata kama mtayaficha na kuyakana kuwa hayapo.
Wakati ambapo mlikuwa mmefikia hatua ya kumsukuma mlevi (CCM) aishie korongoni, imegeuka na kuwa kama mlevi huyo huyo ndiye anaye waamurisha mfuate maagizo yake!
Mlevi anajiandaa na mbinu zile zile alizotumia miaka yote kumbakisha madarakani, lakini kwenu ni kama hamuoni wala kuelewa kinachofanyika, na hamjibidishi kujipanga kuzuia uhalifu huo.
Haya ni matokeo ya sumu mliyo nyweshwa. Mnabaki tu sasa mkituonyesha picha za viongozi wakifurahia maisha, badala ya kupambania maslahi ya nchi hii.
Inasikitisha.
Machame siyo Chato , kuna hata hotel za nyota kadhaa zilizojaa wataliiUtajiri ni "dhambi" kama unatokana na kupandia migongoni mwa hao unaowaita maskini.
Leo hii tunaona viongozi wanavyo fuja mali zinazotakiwa kuwainua hao maskini; halafu tuseme hayo majizi hayakufanya dhambi?
Simzungumzii huyo unayemlenga wewe.
Hata hivyo. nyumba kama hiyo kijijini ni "dead capital." Haina manufaa yoyote.
Nitajibu ya "viongozi kuwa nguzo kuu" pembeni.
Sielewi unachozungumzia hapa, maanake umeweka kijumla jumla tu.
Lakini ninachojua, kwa uhakika ni kwamba mmekwisha ondolewa kwenye lile vugu vugu mlilo wahi kuwa nalo, la kuiondoa CCM madarakani.
Mlisha fanya kazi kubwa sana chini ya mazingira magumu sana, na dalili zilikwisha anza kujionyesha kwamba adhma yenu inaelekea kwenye lengo hilo.
Hayo yalikuwa ni ya wakati huo.
Ya wakati huu, ni dhahri kuna sumu iliyo mwagwa miongoni mwenu, iwatafune taratibu, na kuvuruga mipango ya kuiongoza nchi hii.
Matokeo yake tunayaona, hata kama mtayaficha na kuyakana kuwa hayapo.
Wakati ambapo mlikuwa mmefikia hatua ya kumsukuma mlevi (CCM) aishie korongoni, imegeuka na kuwa kama mlevi huyo huyo ndiye anaye waamurisha mfuate maagizo yake!
Mlevi anajiandaa na mbinu zile zile alizotumia miaka yote kumbakisha madarakani, lakini kwenu ni kama hamuoni wala kuelewa kinachofanyika, na hamjibidishi kujipanga kuzuia uhalifu huo.
Haya ni matokeo ya sumu mliyo nyweshwa. Mnabaki tu sasa mkituonyesha picha za viongozi wakifurahia maisha, badala ya kupambania maslahi ya nchi hii.
Inasikitisha.
Magufuli aliyelaanika?Habari ya mjini sasa hivi ni Paul Makonda hao wahuni ambao familia zao ni raia wa nchi za wazungu wameshapitwa na wakati.
Kwanza Mbowe na Lisu wana laana ya Magufuli
Rubbish and stupid, kwani CCM yako ina jengo hata moja? Yote ni majengo ya serikali na kuna mwaka yatarudi yote serikalini! Pascal Mayalla na kaelimu ulikona nako bado una argument za kitoto.......Duh...!, nimeupenda huo mjengo, maana ukiiangalia huo mjengo na hapo ni kijijini, halafu uki imagine ofisi ya chama pale Ufipa!, ni kama mbingu na nchi!. Nilidhani Elections 2015 - Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio! kumbe I was wrong.
Hakuna ubaya Mwenyekiti Mbowe akajitolea kuwajengea ofisi yenye hadhi Chadema!.
P
Mbona Tundu Lissu hayupo hapo? Au ndio mshikamamo wenyewe huo?Hili tumewahi kuliandika humu na tunarudia tena , kwamba hata Mchawi hawezi kupenya kwenye jambo la pamoja ,mkishaweka msimamo wa pamoja hata iweje hamuwezi kuhujumiwa .
Hiki ndicho kimeifanya ccm iendelee kuitumainia Polisi kwa miaka yote , Chadema ni kisiki cha mpingo
Pichani ni viongozi kadhaa wa Chadema wakiwa kwenye Kasri la Bilionea Freeman Mbowe huko Machame .
View attachment 2811838View attachment 2811839View attachment 2811841
Angalizo : Utajiri siyo dhambi na Wala umasikini au Unyonge hautakufikisha Mbinguni .