Ungeeleza unayoyaona wewe ingetusaidia na sisi tusiojua hizi "mbinu za kivita" unazo ziona wewe.Mbinu za kivita hizo!!!
Kule Mwanza hujaona mwana kondoo kapanda punda!!!
Kalaga bahoo
Mpanga Karata vizuri ndiyo Mshindi
Naona wewe ni mtu wa mipasho zaidi kama hiyo ya "Kalaga bahoo" kuliko lingine lolote la maana unaloweza kuchangia kusaidia hicho chama kifanikiwe kwenye majukumu yake.
"Mpanga Karata vizuri..." hizo karata umeziona wapi wewe?
Imenilazimu nitazame vizuri jina lako tena vizuri 'Babu bul', maana sijawahi kukuona kabla ya hapa.