Mshikamano wa Viongozi wa CHADEMA ndio nguzo kuu ya chama chao

Mbinu za kivita hizo!!!

Kule Mwanza hujaona mwana kondoo kapanda punda!!!

Kalaga bahoo

Mpanga Karata vizuri ndiyo Mshindi
Ungeeleza unayoyaona wewe ingetusaidia na sisi tusiojua hizi "mbinu za kivita" unazo ziona wewe.
Naona wewe ni mtu wa mipasho zaidi kama hiyo ya "Kalaga bahoo" kuliko lingine lolote la maana unaloweza kuchangia kusaidia hicho chama kifanikiwe kwenye majukumu yake.

"Mpanga Karata vizuri..." hizo karata umeziona wapi wewe?

Imenilazimu nitazame vizuri jina lako tena vizuri 'Babu bul', maana sijawahi kukuona kabla ya hapa.
 
Nyumba za halali za Viongozi wa Chadema hazijawahi kuwa siri . kwa akili hizo nikionyesha nyumba yangu ya Tandika Mwembeyanga humu bila shaka utataka kuniloga .
EEEeeenHEEeeee!
Asikuchokoze huyo. Mtupie kapicha, anaweza hata akazimia moja kwa moja.
 
Wewe Peniseli vipiiii!

Pilipili zi shamba zakuwashia Nini
 
Sasa Kazi ya Ruzuku imeonekana Rasmi!
 
Tokea nimeona hili jumba na kufahamu lipo Africa, katika nchi ya Tanzania, Mkoa wa Kilimanjaro, wilaya ya Hai, kitongoji cha Machame....
Nimepata nguvu ya ajabu ya kuyashinda maisha.....

 
Stupidity at its highest level.
Pale idadi ya watu wenye fikra za aina yako inapoongezeka ndipo taifa hilo linapo fika katika ukingo wa kuelekea kuangamia.
 
Mayalla hata wewe umefikia this level? TOO LOW!
Nashindwa kujua hii akili ya aina hii ni matokeo ya Kujiunga kindaki ndaki na CCM au unakunywa sana pombe kupindukia hivyo kuwa mlevi?
Hizi sio akili za mwandishi mkongwe na mahiri ambaye pia ni mwanasheria msomi.
 
Mkuu, watu tunataka mahesabu. Hata sisi tunajua mbowe amerithi pesa nyingi toka kwa baba yake, kwa hiyo issue siyo ubilionea wake!
Kwa hiyo ma CAG wote waliokuwa wanapitia hesabu za chama kama za umma na kutoa hati safi ni waongo na sehemu ya ushirika na Mbowe?
Sikujua kuwa siku hizi JF imevamiwa kwa kiwango hiki na watu wa aina yako ambao naogopa kuwaita jina lao sahihi "wajinga".
 
Kama huwezi kutofautisha l na r, usiandike kwa ajili ya jamii. Muandikie mpenzi wako tu. UNABOWA!!

imala, kinaimalika, wanatalajia
 
Mahesabu yako wapi sasa? Ni uzezeta wa kiwango cha sgr kudhani kuwa porojo ndiyo mahesabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…