Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
hahahahahahahaaa dina mjinga weweeee
Ulikua wapi weyeeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahahaaa dina mjinga weweeee
lazima kuna something behind the scene si bure
kwa nini aisende nje ya jiji kununua plot na kujenga town house kama nne hivi..za kawaida kwa kutumia contractors then nyingine anapangisha then na miradi ya hapa na pale..ila hongera sana..huyu chalii yupo positive na ana uelewa mkubwa sana
Mbona amepewa land na mapesa mengine na Rais Jakaya Kikwete,hamkusema lolote...huyu aliyempa nyumba ndio mnaropoka 😂😂😂😂😂...Idris,you are one lucky bast*ard,and I will love to marry YOU!!!
I see!!.....
Huyu ni nani tena mkuu?
I bet the price he paid 4 this one he could have built himself a better house with his own plan.
Tusijesikia kanyanganywa au kaolewa kawekwa kinyumba
- Wacha hizo Mshindani wake Mnigeria aliporudi kwao kuna Mfanyabiashara aliyempa zawadi ya pesa zaidi ya zile za zawadi ya ushindi so sio ajabu soma vizuri maneno aliyoandika mwenyewe Idris na aliyoyasema Ghalib mwenyewe
Le Mutuz
Mbona amepewa land na mapesa mengine na Rais Jakaya Kikwete,hamkusema lolote...huyu aliyempa nyumba ndio mnaropoka 😂😂😂😂😂...Idris,you are one lucky bast*ard,and I will love to marry YOU!!!
Nilichogundua kitu ni kuwa Watanzania ni wazuri kuwashauri wenzao jinsi ya kutumia mali na pesa ilhali wao kuzitafuta mali kama hizo wameshindwa
Mfano leo C.T.U nikiwa na one billion kutatokea watu mbalimbali wakunishauri jinsi ya kutumia hizo one billioni
Japokuwa kati yao hakuna hata mmoja anayeweza kutafuta one billioni niliyoipata
So strange..
Amejitahidi;
Ila pesa ikimwishia itabidi tu aiuze,
hizo nyumba huwezi kuishi kama hujiwezi.