Mshindi wa Big Brother Hotshots Idris Sultan Anunua nyumba ya kifahari

Mshindi wa Big Brother Hotshots Idris Sultan Anunua nyumba ya kifahari

Dogo ataishiwa hapo hapo,
Nyumba haina hata fensi,
Inabidi akomae hasa.
Kununuwa nyumba ni jambo lingine na kuimantain nyumba ni jambo lingine zaidi, hiyo nyumba inahitaji wafanyakazi si chini ya wawili uwe unawalipa mshahara na mengine ambayo mtu aliyezoea maisha ya chumba na valanda hawezi kuyajuwa.
 
Mbona hata kampuni za consultation hawayafanyii wao mawazo yao?

Kuna watu hawana mitaji ila kichwani wapo vizuri.


Hawafanyii kazi mawazo yao sababu wao kazi yao ni kushauri and they make a lot of bucks kwa kazi hiyo ya kushauri

mfano wako uko so irrelevant
 
Pangisha nyumba hiyo uwe unakula dola 2000 kwa mwezi,kisha uchukue hiyo hela na wewe ukapange mbezi beach kwa laki 5 kwa mwezi,hiyo 3m unakula maisha na msouth au lulu kanumba.
 
kwa nini aisende nje ya jiji kununua plot na kujenga town house kama nne hivi..za kawaida kwa kutumia contractors then nyingine anapangisha then na miradi ya hapa na pale..ila hongera sana..huyu chalii yupo positive na ana uelewa mkubwa sana

Huko ni kupangiana maisha sasa. Hukovnje ya mji kwanini usiende wewe?
 
I bet the price he paid 4 this one he could have built himself a better house with his own plan.

Wewe unapenda kununua mifuko ya cement na kufyatua matofali mwenyewe kama konoike? Ukisikia mambo ya kizee ndio hayo yaani unaona dili kupoteza muda wako kulinda matofali na misumali isiibiwe?..aggggh!
 
Safi sana,ila mjengo kama haupo prime area vile,nyuma naona kama uswahilini au macho yangu? usikute kapigwa hadi 400m huo mjengo,angejenga yake,naona kama imechoka choka.

Mjengo upo mbezi beach huo mita kadhaa kutoka baharini
 
.... kabla hajashinda aliulizwa atazifanyia nini hizo fedha na alijibu kua "ATARUDISHA AFRICA".... sijui ndio hivo
 
Afadhal kanunua nyumba kuliko kupanga, ,huyu yupo tofauti na wengineeee

Yupo tofauti na bwana ako ndomo ambaye kutwa kupanga sinza ata habar ya kuhamia kwake hana, idris ni shida, hayo ndo maisha ya ki supa staa sio hao mastaa ushuzi akina wolper, wema, lulu na ndomo kutwa kupanga mamayo zao nfyuuu
 
Kununuwa nyumba ni jambo lingine na kuimantain nyumba ni jambo lingine zaidi, hiyo nyumba inahitaji wafanyakazi si chini ya wawili uwe unawalipa mshahara na mengine ambayo mtu aliyezoea maisha ya chumba na valanda hawezi kuyajuwa.

Mpongeze .hayo ya maintenance hayakuhusu
 
Ina maana ni idris pekee ndio amewahi kushinda mjengoni mbona wengine hawajapewa hata karobo heka au kwa vile ni idris

Ukimgeuza sana Nyoka utaona miguu yake...do these names mean anything to you,; Richard, Mwisho et al...and Sultan Idris?
 
Hii nyumba Ontario kwenye thread yake ya Interview kasema ndo anaishi, Huyu Sultan alituingia chaka ang'oe mademu.

Cool The thing is sina uwezo wa kujenga my dream house kwa sasa, nitafikiria kujenga nikifika umri wa miaka 25. Sitaki kujenga nyumba ambayo baadae ntatamani kuibomoa. Kiufupi quality ya hii nyumba ninayoishi siwezi kuijenga kwa sasa. Hii ni nyumba ambayo Idris Sultan aliishi baada ya kutoka SA alivyoshinda BBA. Same house!!
 
Back
Top Bottom