Mshindo Msola ni kiongozi mwenye weledi sana, anafaa Urais TFF

Mshindo Msola ni kiongozi mwenye weledi sana, anafaa Urais TFF

gango2

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2011
Posts
1,956
Reaction score
2,274
Habari wanabodi
Pasi na shaka, wapenda kabumbu wengi wanamfahamu au wamewahi kulisikia hili jina Dr Msindo Msolla na kwa mashabiki wa klabu ya Yanga au Simba wana mjua kama Mwenyekiti wa Club ya Yanga. Pia naamini kuna wengi sana hawamjui kiongozi wa juu kabisa wa Club ya Yanga kuwa ni Dr Mshindo Msolla, wakidhani Senzo ndio kiongozi wa juu. Hii inatokana na "system" ya uongozi ya club ya Yanga kwa sasa ambapo Mwenyekiti alimteua Mtendaji mkuu anayesimamia utendaji wa Club.

Huwezi kuyataja mafanikio ya sasa ya Yanga kwenye hili la mabadiliko bila kumtaja Dr Msola, Vitu vingi vinavyoendelea nyuma ya haya mapinduzi pamoja ya kwamba Senzo ndio muongozaji lakini nyuma yake yupo Dr Msolla. Lazima Watanzania tujivunie idea hii ambayo Dr Msola ameisimamia kwa weledi mkubwa ikienda bila matatizo.

kulikuwa na posibility kubwa mbili katika mchakato huu, either Yanga ikubali mabadilika yaende smooth huku uwanjani wasiwe vizuri au kiwanjani wawe vizuri mabadiliko yasuesue, hii inatokana na risilimali zitakazokuwepo. Lakini Dr Msolla amekuwa very smart kubalance vyote viwili. Pamoja na kwamba GSM walikuwepo lakini usimamili wa rasilimali ni kitu cha muhimu sana na club ya Yanga kupitia msola wameweza kabisa. Sasa klabu ya Yanga wamefanikiwa yote mawili kwa pamoja, binafsi naweza sema kwa asilimia 80%+


Kwa wale wasiomfahamu Dr. Msolla nje ya Soka pia ni mtaalamu sana wa kilimo!
Dk Msolla alikuwa Mkurugenzi Wizara ya Kilimo, Mwenyekiti wa Mamlaka ya Uthibiti wa Mbolea Tanzania, Mjumbe wa Bodi ya Pamba Tanzania, Mjumbe wa Bodi ya Wakulima Wadogo wa Chai Tanzania, Mshauri wa Kilimo wa Shirika la Maendeleo ya Denmark (DANIDA), Meneja wa Tanzania wa Shirika Lisilo la Kiserikali la African Fertilizer and Agribusiness Partnership (AFAP), Pia nafikiri kwa sasa ndie mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya OCP ya Morocco

Pamoja na Senzo kuwa kinara wa mabadiliko Yanga, lakini nyuma ya yote yupo Dr Mshindo Msolla. Binafsi naona ni moja ya wanamichezo wenye upeo wa juu kabisa kwenye mabadiliko ya soka binafsi naamini kwa nafasi kama Rais wa TFF inamfaa sana.
 
Ni kweli bila akili na utulivu wa Dr Msolla, Yanga isingefika hapa tulipofika. Hivi yule Kaka yake Prof Msolla yupo wapi?
 
Kuna pichailimjwa inazagaa ikimuonesha alikuwa akicheza Simba Sc.? Au ilikuwa editing?
 
Siungi mkono hoja. Binafsi nitapenda kumuona rais wa TFF ambaye hajawahi kuwa na madaraka makubwa ya kiuongozi kwenye moja ya hivi vilabu viwili vikongwe kabisa nchini.

Lengo ni kuondoa double standard, upendeleo, kuto kuaminiana, U rose muhando, nk.
 
Siungi mkono hoja. Binafsi nitapenda kumuona rais wa TFF ambaye hajawahi kuwa na madaraka makubwa ya kiuongozi kwenye moja ya hivi vilabu viwili vikongwe kabisa nchini.

Lengo ni kuondoa double standard, upendeleo, kuto kuaminiana, U rose muhando, nk.
U Rose muhando [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtoa mada ametoboka, kwa mafanikio gani ya Yanga, au kubeba ngao ya hisani?
 
Habari wanabodi.
Pasi na shaka, wapenda kabumbu wengi wanamfahamu au wamewahi kulisikia hili jina Dr Msindo Msolla na kwa mashabiki wa klabu ya Yanga au Simba wana mjua kama Mwenyekiti wa Club ya Yanga. Pia naamini kuna wengi sana hawamjui kiongozi wa juu kabisa wa Club ya Yanga kuwa ni Dr Mshindo Msolla, wakidhani Senzo ndio kiongozi wa juu. Hii inatokana na "system" ya uongozi ya club ya Yanga kwa sasa ambapo Mwenyekiti alimteua Mtendaji mkuu anayesimamia utendaji wa Club.

Huwezi kuyataja mafanikio ya sasa ya Yanga kwenye hili la mabadiliko bila kumtaja Dr Msola, Vitu vingi vinavyoendelea nyuma ya haya mapinduzi pamoja ya kwamba Senzo ndio muongozaji lakini nyuma yake yupo Dr Msolla. Lazima Watanzania tujivunie idea hii ambayo Dr Msola ameisimamia kwa weledi mkubwa ikienda bila matatizo.

kulikuwa na posibility kubwa mbili katika mchakato huu, either Yanga ikubali mabadilika yaende smooth huku uwanjani wasiwe vizuri au kiwanjani wawe vizuri mabadiliko yasuesue, hii inatokana na risilimali zitakazokuwepo. Lakini Dr Msolla amekuwa very smart kubalance vyote viwili. Pamoja na kwamba GSM walikuwepo lakini usimamili wa rasilimali ni kitu cha muhimu sana na club ya Yanga kupitia msola wameweza kabisa. Sasa klabu ya Yanga wamefanikiwa yote mawili kwa pamoja, binafsi naweza sema kwa asilimia 80%+


Kwa wale wasiomfahamu Dr. Msolla nje ya Soka pia ni mtaalamu sana wa kilimo!
Dk Msolla alikuwa Mkurugenzi Wizara ya Kilimo, Mwenyekiti wa Mamlaka ya Uthibiti wa Mbolea Tanzania, Mjumbe wa Bodi ya Pamba Tanzania, Mjumbe wa Bodi ya Wakulima Wadogo wa Chai Tanzania, Mshauri wa Kilimo wa Shirika la Maendeleo ya Denmark (DANIDA), Meneja wa Tanzania wa Shirika Lisilo la Kiserikali la African Fertilizer and Agribusiness Partnership (AFAP), Pia nafikiri kwa sasa ndie mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya OCP ya Morocco



Pamoja na Senzo kuwa kinara wa mabadiliko Yanga, lakini nyuma ya yote yupo Dr Mshindo Msolla. Binafsi naona ni moja ya wanamichezo wenye upeo wa juu kabisa kwenye mabadiliko ya soka binafsi naamini kwa nafasi kama Rais wa TFF inamfaa sana.
Kumbe nimepitwa na mengi. Hivi kumbe yanga imeshafanikiwa katika mabadiliko. Kwenye hayo mabadiliko ni nani wawekezaji? Wamewekeza kiasi gani? System yao ya uongozi upoje? Wawekezaji wameahidi mambo yapi?
 
Siungi mkono hoja. Binafsi nitapenda kumuona rais wa TFF ambaye hajawahi kuwa na madaraka makubwa ya kiuongozi kwenye moja ya hivi vilabu viwili vikongwe kabisa nchini.

Lengo ni kuondoa double standard, upendeleo, kuto kuaminiana, U rose muhando, nk.
Awe aliwahi kuzichezea hizi teama au laah, hakuna mtu wa mpira tanzania hii ambaye si shabiki wa either Simba Sc au Yanga. Labda mjaribu kuleta watu kutoka nje ya nchi.
 
Kwa kweli mshindo msolla atafaa sana kuiongoza na kui shape tff
 
Kumbe nimepitwa na mengi. Hivi kumbe yanga imeshafanikiwa katika mabadiliko. Kwenye hayo mabadiliko ni nani wawekezaji? Wamewekeza kiasi gani? System yao ya uongozi upoje? Wawekezaji wameahidi mambo yapi?
mafanikio ya mchakato ni mafanikio ya mabadilio.

tazama mchakato wa Yanga ulivyo wazi kulinganisha na ule wa Simba
 
mafanikio ya mchakato ni mafanikio ya mabadilio.

tazama mchakato wa Yanga ulivyo wazi kulinganisha na ule wa Simba
Swala kubwa la mafanikio ni utekelezaji wa jambo husika na kwenda kama ilivyopangwa hapo ndio tunaita mafanikio. jambo halijatekelezwa unasemaje ni mafanikio?
 
Swala kubwa la mafanikio ni utekelezaji wa jambo husika na kwenda kama ilivyopangwa hapo ndio tunaita mafanikio. jambo halijatekelezwa unasemaje ni mafanikio?
wewe unavyoona utekelezaji wa Yanga unaendaje????

niambie ni club gani Tanzania wamefanya mchakato kama huu
 
Huwezi kuyataja mafanikio ya sasa ya Yanga kwenye hili la mabadiliko bila kumtaja Dr Msola, Vitu vingi vinavyoendelea nyuma ya haya mapinduzi pamoja ya kwamba Senzo ndio muongozaji lakini nyuma yake yupo Dr Msolla.
Sidhani kama unayoongea yana ukweli. Msola amelazimika kuwa mpole kutokana na Yanga kama klabu kutokuwa na pesa. Mwenye pesa ni mdhamini ambaye majukumu yake ni udhamini wa jezi tu, lakini kwa kuwa anafanya na mambo mengine kama usajili na kulipa mishahara ya wachezaji hadi na ya akina Msola na Mwakalebela, hakuna namna yoyote ingemfanya awe na maamuzi. Hata Senzo naye yupo tu ili mradi aonekane anafanya kazi, lakini JiiEsiEmu wamehodhi kila kitu kwa sasa
 
wewe unavyoona utekelezaji wa Yanga unaendaje????
niambie ni club gani Tanzania wamefanya mchakato kama huu
Ungeutaja very specific mchakato gani huo. Halafu usikariri kwa kudhani kila klabu inapaswa kufanya unavyotaka, kuna vilabu vingine ni vya Halmashauri, vingine ni vya jeshi nk. Sio lazima vyote vifanye hiyo michakato
 
Back
Top Bottom