Mshiriki wa Tanzania BBA Uzalendo umemshinda!

Ipo sana....tena wale ndo balaa zaidi...
Waingereza ndio wanapenda ngono ila kwenye Big brother yao huwa wanajistahi. Sikatai inaweza tokea mara moja moja sio hawa ndugu zangu kila kukicha unasikia huyu kalala na huyu
 

Sema wewe.......
 
kuna show gani sasa hapo coz they just live their life labda tofauti wanafugwa kama nguruwe kwenye lile jumba

kwani mle umeambiwa they are living somebodys life!!!!!!
it is their life
 
Hii inatuonyesha Waafrica tunavyoendekeza ngono sijawahi kusikia au hata kama imetokea one off katika big brother UK

Waingereza ndio wanapenda ngono ila kwenye Big brother yao huwa wanajistahi. Sikatai inaweza tokea mara moja moja sio hawa ndugu zangu kila kukicha unasikia huyu kalala na huyu

which is which!!!!!!!
 
jamani next time wawe wanawapima viwango vya nyege. wenye nyege nyingi wasiende hukoooo.
 
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmhh.!!! Kazi ipooo:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Umenisuuza kweli
Yaani tunasubiri mtu afanye mistake moja tu, baasi
Yale mazuri yote alofanya hakuna hata moja linalosemwa

Shoo za wanuka vikwapa utazijua tu. Hamna la maaa zaidi ya kusubiri kuona nani atamegana na nani. Ndiyo maana mko maskini na mafukara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…