Kweli kabisaHapa ndio huwa naona hakuna anae elewa maana halisi ya neno democracy.
Maana hawa vyama vya upinzani wanaoongoza kwa kunyooshea vidole CCM kuwa wanakiuka katiba na sheria (kitu ambacho ni kweli na kipo wazi) wanashindwa pia kubaini madhaifu yao katika kusimamia katiba ya chama tu. Sasa swali linakuja kama hawa wanashindwa kusimamia katiba ya chama wataweza kusimamia katiba na sheria za inchi.
CCM kushinda uchaguzi kila baada ya miaka mitano ni matokeo ya upinzani dhaifu.
Watakuambia oh sijui tuna kesi mahakamani kwa hiyo hatuwezi kufanya uchaguzi. Yaani akina Mbowe wanaomba hiyo kesi isiishe ili kusudi wanyooshe mambo yao. Ha ha ha. Kufa kufaana.
Upuuzi mtupu.Maliza kwanza matibabu yako ili uweze kuwasemea wenye afya njema ya akili.
Mshtuko uko wapi sasa?Mbona sijashtuka?Tangu mwezi wa tatu mwaka huu wa 2019 , ambao tuliambiwa kwamba Chadema itafanya uchaguzi wake MKUU wa kuchagua viongozi wa kitaifa .
Taarifa iliyowahi kutolewa na afisa habari wa chama hichi ndg tumanini makene mnamo mwezi wa agosti mwaka 2018 ilisema kwamba Chadema ingefanya uchaguzi huo mapema mwezi wa 3 mwaka huu wa 2019.
Ni miezi mitatu sasa imeshapita tangu muda huo uliopangwa upite na hatujaona dalili ya kufanyika kwa uchaguzi huo na wala hamana taarifa yoyote iliyotolewa mpaka sasa.Kwa jinsi hali ilivyo na ratiba zilivyokaa mpaka sasahaitowezekana tena kwa chama hicho kufanya uchaguzi huo mkuu kwa sababu mwezi unaokuja wa Julai pilika pilika pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza.
Tukumbuke uchaguzi huo usipofanyika mwaka huuitakua in uvunjwaji wa katiba ya chama hicho.Sababu haswa ya kutofanyika haijawekwa waz,i lakini wadadisi wa mambo wanasema hazina kuu ya chama hicho imekauka fedha za ruzuku zimechotwa na wajanja wameenda kufungua mahotel ndani na nje ya nchi.
Kama ni mbinu ya Mbowe ya kuchelewesha kufanyika uchaguzi huo mpaka sasa basi atakua amefanikwa kuwa Mwenyekiti wa milele asiyepingwa aliyetawala kwa zaidi ya miaka 20 peke yake.Tukumbuke kwamba ratiba ya uchaguzi ilikua ni mwezi wa 3/2019 ndio kipindi amabachoMbowe alifanya sinema nyingi za kuwatoa wafuasi wa chadema kwenye reli kwa kujisababishia kesi nyingi zisizo na kichwa wala miguu kama vile kuruka dhamana na kwenda kutumbua fedha za ruzuku ughaibuni.
CHADEMA UCHAGUZI LINI?
Wasira alisema chadema imekufa. Chama kilichokufa kinafanyaje uchaguzi?Tangu mwezi wa tatu mwaka huu wa 2019 , ambao tuliambiwa kwamba Chadema itafanya uchaguzi wake MKUU wa kuchagua viongozi wa kitaifa .
Taarifa iliyowahi kutolewa na afisa habari wa chama hichi ndg tumanini makene mnamo mwezi wa agosti mwaka 2018 ilisema kwamba Chadema ingefanya uchaguzi huo mapema mwezi wa 3 mwaka huu wa 2019.
Ni miezi mitatu sasa imeshapita tangu muda huo uliopangwa upite na hatujaona dalili ya kufanyika kwa uchaguzi huo na wala hamana taarifa yoyote iliyotolewa mpaka sasa.Kwa jinsi hali ilivyo na ratiba zilivyokaa mpaka sasahaitowezekana tena kwa chama hicho kufanya uchaguzi huo mkuu kwa sababu mwezi unaokuja wa Julai pilika pilika pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza.
Tukumbuke uchaguzi huo usipofanyika mwaka huuitakua in uvunjwaji wa katiba ya chama hicho.Sababu haswa ya kutofanyika haijawekwa waz,i lakini wadadisi wa mambo wanasema hazina kuu ya chama hicho imekauka fedha za ruzuku zimechotwa na wajanja wameenda kufungua mahotel ndani na nje ya nchi.
Kama ni mbinu ya Mbowe ya kuchelewesha kufanyika uchaguzi huo mpaka sasa basi atakua amefanikwa kuwa Mwenyekiti wa milele asiyepingwa aliyetawala kwa zaidi ya miaka 20 peke yake.Tukumbuke kwamba ratiba ya uchaguzi ilikua ni mwezi wa 3/2019 ndio kipindi amabachoMbowe alifanya sinema nyingi za kuwatoa wafuasi wa chadema kwenye reli kwa kujisababishia kesi nyingi zisizo na kichwa wala miguu kama vile kuruka dhamana na kwenda kutumbua fedha za ruzuku ughaibuni.
CHADEMA UCHAGUZI LINI?
Nanukuu maneno ya makada wa ccm kama wewe ambao mmehubiri miaka nenda rudi kuwa chadema imekufa. Kama imekufa mnataka wafanye uchaguzi wa nn?Katiba ya chadema ndiyo inasema hivi?
Mwambie kabugi atuonyeshe alipomzika Azory GwandaTangu mwezi wa tatu mwaka huu wa 2019 , ambao tuliambiwa kwamba Chadema itafanya uchaguzi wake MKUU wa kuchagua viongozi wa kitaifa .
Taarifa iliyowahi kutolewa na afisa habari wa chama hichi ndg tumanini makene mnamo mwezi wa agosti mwaka 2018 ilisema kwamba Chadema ingefanya uchaguzi huo mapema mwezi wa 3 mwaka huu wa 2019.
Ni miezi mitatu sasa imeshapita tangu muda huo uliopangwa upite na hatujaona dalili ya kufanyika kwa uchaguzi huo na wala hamana taarifa yoyote iliyotolewa mpaka sasa.Kwa jinsi hali ilivyo na ratiba zilivyokaa mpaka sasahaitowezekana tena kwa chama hicho kufanya uchaguzi huo mkuu kwa sababu mwezi unaokuja wa Julai pilika pilika pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza.
Tukumbuke uchaguzi huo usipofanyika mwaka huuitakua in uvunjwaji wa katiba ya chama hicho.Sababu haswa ya kutofanyika haijawekwa waz,i lakini wadadisi wa mambo wanasema hazina kuu ya chama hicho imekauka fedha za ruzuku zimechotwa na wajanja wameenda kufungua mahotel ndani na nje ya nchi.
Kama ni mbinu ya Mbowe ya kuchelewesha kufanyika uchaguzi huo mpaka sasa basi atakua amefanikwa kuwa Mwenyekiti wa milele asiyepingwa aliyetawala kwa zaidi ya miaka 20 peke yake.Tukumbuke kwamba ratiba ya uchaguzi ilikua ni mwezi wa 3/2019 ndio kipindi amabachoMbowe alifanya sinema nyingi za kuwatoa wafuasi wa chadema kwenye reli kwa kujisababishia kesi nyingi zisizo na kichwa wala miguu kama vile kuruka dhamana na kwenda kutumbua fedha za ruzuku ughaibuni.
CHADEMA UCHAGUZI LINI?
Nyie fisiem hamna jipya!Nyumbu huwa hashituki hata akiwa mbele ya simba
Huo uchaguzi una maslahi nao? au unahusika kwa namna yoyote? Pole sana mkuu dai haki yako na timiza wajibu wakoTangu mwezi wa tatu mwaka huu wa 2019 , ambao tuliambiwa kwamba Chadema itafanya uchaguzi wake MKUU wa kuchagua viongozi wa kitaifa .
Taarifa iliyowahi kutolewa na afisa habari wa chama hichi ndg tumanini makene mnamo mwezi wa agosti mwaka 2018 ilisema kwamba Chadema ingefanya uchaguzi huo mapema mwezi wa 3 mwaka huu wa 2019.
Ni miezi mitatu sasa imeshapita tangu muda huo uliopangwa upite na hatujaona dalili ya kufanyika kwa uchaguzi huo na wala hamana taarifa yoyote iliyotolewa mpaka sasa.Kwa jinsi hali ilivyo na ratiba zilivyokaa mpaka sasahaitowezekana tena kwa chama hicho kufanya uchaguzi huo mkuu kwa sababu mwezi unaokuja wa Julai pilika pilika pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza.
Tukumbuke uchaguzi huo usipofanyika mwaka huuitakua in uvunjwaji wa katiba ya chama hicho.Sababu haswa ya kutofanyika haijawekwa waz,i lakini wadadisi wa mambo wanasema hazina kuu ya chama hicho imekauka fedha za ruzuku zimechotwa na wajanja wameenda kufungua mahotel ndani na nje ya nchi.
Kama ni mbinu ya Mbowe ya kuchelewesha kufanyika uchaguzi huo mpaka sasa basi atakua amefanikwa kuwa Mwenyekiti wa milele asiyepingwa aliyetawala kwa zaidi ya miaka 20 peke yake.Tukumbuke kwamba ratiba ya uchaguzi ilikua ni mwezi wa 3/2019 ndio kipindi amabachoMbowe alifanya sinema nyingi za kuwatoa wafuasi wa chadema kwenye reli kwa kujisababishia kesi nyingi zisizo na kichwa wala miguu kama vile kuruka dhamana na kwenda kutumbua fedha za ruzuku ughaibuni.
CHADEMA UCHAGUZI LINI?
Tangu mwezi wa tatu mwaka huu wa 2019 , ambao tuliambiwa kwamba Chadema itafanya uchaguzi wake MKUU wa kuchagua viongozi wa kitaifa .
Taarifa iliyowahi kutolewa na afisa habari wa chama hichi ndg tumanini makene mnamo mwezi wa agosti mwaka 2018 ilisema kwamba Chadema ingefanya uchaguzi huo mapema mwezi wa 3 mwaka huu wa 2019.
Ni miezi mitatu sasa imeshapita tangu muda huo uliopangwa upite na hatujaona dalili ya kufanyika kwa uchaguzi huo na wala hamana taarifa yoyote iliyotolewa mpaka sasa.Kwa jinsi hali ilivyo na ratiba zilivyokaa mpaka sasahaitowezekana tena kwa chama hicho kufanya uchaguzi huo mkuu kwa sababu mwezi unaokuja wa Julai pilika pilika pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza.
Tukumbuke uchaguzi huo usipofanyika mwaka huuitakua in uvunjwaji wa katiba ya chama hicho.Sababu haswa ya kutofanyika haijawekwa waz,i lakini wadadisi wa mambo wanasema hazina kuu ya chama hicho imekauka fedha za ruzuku zimechotwa na wajanja wameenda kufungua mahotel ndani na nje ya nchi.
Kama ni mbinu ya Mbowe ya kuchelewesha kufanyika uchaguzi huo mpaka sasa basi atakua amefanikwa kuwa Mwenyekiti wa milele asiyepingwa aliyetawala kwa zaidi ya miaka 20 peke yake.Tukumbuke kwamba ratiba ya uchaguzi ilikua ni mwezi wa 3/2019 ndio kipindi amabachoMbowe alifanya sinema nyingi za kuwatoa wafuasi wa chadema kwenye reli kwa kujisababishia kesi nyingi zisizo na kichwa wala miguu kama vile kuruka dhamana na kwenda kutumbua fedha za ruzuku ughaibuni.
CHADEMA UCHAGUZI LINI?