Mshituko: Mbowe aongoza mashambulizi ya kuvunja katiba ya chama!

Mshituko: Mbowe aongoza mashambulizi ya kuvunja katiba ya chama!

Hayo mengine sio ya msingi sana, la msingi ni je kuna athari gani kwa chama hicho kutofanya uchaguzi huo kwa wakati huu kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa na katiba ya nchi?
Tangu mwezi wa tatu mwaka huu wa 2019 , ambao tuliambiwa kwamba Chadema itafanya uchaguzi wake MKUU wa kuchagua viongozi wa kitaifa .

Taarifa iliyowahi kutolewa na afisa habari wa chama hichi ndg tumanini makene mnamo mwezi wa agosti mwaka 2018 ilisema kwamba Chadema ingefanya uchaguzi huo mapema mwezi wa 3 mwaka huu wa 2019.

Ni miezi mitatu sasa imeshapita tangu muda huo uliopangwa upite na hatujaona dalili ya kufanyika kwa uchaguzi huo na wala hamana taarifa yoyote iliyotolewa mpaka sasa.Kwa jinsi hali ilivyo na ratiba zilivyokaa mpaka sasahaitowezekana tena kwa chama hicho kufanya uchaguzi huo mkuu kwa sababu mwezi unaokuja wa Julai pilika pilika pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza.



Tukumbuke uchaguzi huo usipofanyika mwaka huuitakua in uvunjwaji wa katiba ya chama hicho.Sababu haswa ya kutofanyika haijawekwa waz,i lakini wadadisi wa mambo wanasema hazina kuu ya chama hicho imekauka fedha za ruzuku zimechotwa na wajanja wameenda kufungua mahotel ndani na nje ya nchi.

Kama ni mbinu ya Mbowe ya kuchelewesha kufanyika uchaguzi huo mpaka sasa basi atakua amefanikwa kuwa Mwenyekiti wa milele asiyepingwa aliyetawala kwa zaidi ya miaka 20 peke yake.Tukumbuke kwamba ratiba ya uchaguzi ilikua ni mwezi wa 3/2019 ndio kipindi amabachoMbowe alifanya sinema nyingi za kuwatoa wafuasi wa chadema kwenye reli kwa kujisababishia kesi nyingi zisizo na kichwa wala miguu kama vile kuruka dhamana na kwenda kutumbua fedha za ruzuku ughaibuni.
CHADEMA UCHAGUZI LINI?
 
Anavuta muda kula ruzuku anaogopa asije shika mwingine .Anataka kumsindikiza ruzuku Hadi June mwakani itakapokoma
 
LISSU ANAINGIA KINYANG'ANYORO CHA URAIS!
CHADEMA INATENGANISHA UONGOZI WA CHAMA NA UONGOZI WA NCHI, OVER AND OUT!
Lisu hawezi gombea uraisi inabidi asubiri miaka mitano ipite kwa sababu ya kuvuliwa ubunge.Ukivuliwa ubunge kwa mujibu was sheria mpya ya vyama vya siasa huruhusiwi kugombea ubunge,udiwani au uraisi Hadi miaka mitano ipite.Tundu Lisu out
 
Lisu hawezi gombea uraisi inabidi asubiri miaka mitano ipite kwa sababu ya kuvuliwa ubunge.Ukivuliwa ubunge kwa mujibu was sheria mpya ya vyama vya siasa huruhusiwi kugombea ubunge,udiwani au uraisi Hadi miaka mitano ipite.Tundu Lisu out
DUH! HATA HIYO SHERIA NAONA ILIMUANGALIA LISSU!
 
Kuna kiongozi wa Nchi yeye anavunja Katiba ya Nchi Lumumba mnasifu.
Anzeni na Mwenyekiti wenu kwanza.
Kuna mazuzu wengi nchi Hii am ao CCM imewacreate. Badala ya kuhangaika na kati a ya nchi au chama tawala wako busy na propaganda za nini Wapinzani wanafanya. Whchi is irrelevant...!!
 
  • Thanks
Reactions: prs
Alipoamua kuwa mwenyekiti wa maisha alishaivunja misingi ya demokrasia ndani ya CHADEMA anapaswa kusoma alama za nyakati na kufanya marekebisho kukirudisha chama kwa wanachama ili kiendelee na mikakati chanya ya kutafuta kura za kuliongoza Taifa letu

We kweli ni msanii a.k.a mwigizaji....!!
Hivi na nyie MAFISI wa CCM nani aliyewaruhusu kuvunja Katiba ya JMT ili muendelee kutawala Tanzania milele? Nani hajui kuwa kila chaguzi kuu kule Zanzibari na Zanzibara mnaangukia pua lakini mnachakachua matokeo?
Tuondolee upuuzi na udaku wa MUSIBA wa Taifa hapa.......!!
 
Hapa ndio huwa naona hakuna anae elewa maana halisi ya neno democracy.

Maana hawa vyama vya upinzani wanaoongoza kwa kunyooshea vidole CCM kuwa wanakiuka katiba na sheria (kitu ambacho ni kweli na kipo wazi) wanashindwa pia kubaini madhaifu yao katika kusimamia katiba ya chama tu. Sasa swali linakuja kama hawa wanashindwa kusimamia katiba ya chama wataweza kusimamia katiba na sheria za inchi.

CCM kushinda uchaguzi kila baada ya miaka mitano ni matokeo ya upinzani dhaifu.

Kawadanganze mafisi wa Lumumba....!
CCM MMEVUNJA KATIBA MARA NGAPI ya chama chenu na ya Nchi? Nani asiyejua kuwa CCM mnatawala nji hii kimabavu?Nani asiyejua kwa hakuna DEMOKRASIA YA KWELI ndani ya CCM hasa kipindi hichi cha JIWE??Kweli nyani haoni kundule....!!!!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Tangu mwezi wa tatu mwaka huu wa 2019 , ambao tuliambiwa kwamba Chadema itafanya uchaguzi wake MKUU wa kuchagua viongozi wa kitaifa .

Taarifa iliyowahi kutolewa na afisa habari wa chama hichi ndg tumanini makene mnamo mwezi wa agosti mwaka 2018 ilisema kwamba Chadema ingefanya uchaguzi huo mapema mwezi wa 3 mwaka huu wa 2019.

Ni miezi mitatu sasa imeshapita tangu muda huo uliopangwa upite na hatujaona dalili ya kufanyika kwa uchaguzi huo na wala hamana taarifa yoyote iliyotolewa mpaka sasa.Kwa jinsi hali ilivyo na ratiba zilivyokaa mpaka sasahaitowezekana tena kwa chama hicho kufanya uchaguzi huo mkuu kwa sababu mwezi unaokuja wa Julai pilika pilika pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza.



Tukumbuke uchaguzi huo usipofanyika mwaka huuitakua in uvunjwaji wa katiba ya chama hicho.Sababu haswa ya kutofanyika haijawekwa waz,i lakini wadadisi wa mambo wanasema hazina kuu ya chama hicho imekauka fedha za ruzuku zimechotwa na wajanja wameenda kufungua mahotel ndani na nje ya nchi.

Kama ni mbinu ya Mbowe ya kuchelewesha kufanyika uchaguzi huo mpaka sasa basi atakua amefanikwa kuwa Mwenyekiti wa milele asiyepingwa aliyetawala kwa zaidi ya miaka 20 peke yake.Tukumbuke kwamba ratiba ya uchaguzi ilikua ni mwezi wa 3/2019 ndio kipindi amabachoMbowe alifanya sinema nyingi za kuwatoa wafuasi wa chadema kwenye reli kwa kujisababishia kesi nyingi zisizo na kichwa wala miguu kama vile kuruka dhamana na kwenda kutumbua fedha za ruzuku ughaibuni.
CHADEMA UCHAGUZI LINI?
GREEN GUARD AMESHATOKA KULA UGORO ANAKUJA KUMCHALLANGE MBOWE POLE SANA
 
Unauhakika na unacho kisema????
Lakini Mbowe na chadema yake hawateki, wala hawapigi watu risasi tofauti na CHAMA CHA MAUAJI (CCM) wao wamebakiwa na kazi ya kuteka na kuua watu hovyo badala ya kuwaletea maendeleo kama walivyowaahidi.
 
Tangu mwezi wa tatu mwaka huu wa 2019 , ambao tuliambiwa kwamba Chadema itafanya uchaguzi wake MKUU wa kuchagua viongozi wa kitaifa .

Taarifa iliyowahi kutolewa na afisa habari wa chama hichi ndg tumanini makene mnamo mwezi wa agosti mwaka 2018 ilisema kwamba Chadema ingefanya uchaguzi huo mapema mwezi wa 3 mwaka huu wa 2019.

Ni miezi mitatu sasa imeshapita tangu muda huo uliopangwa upite na hatujaona dalili ya kufanyika kwa uchaguzi huo na wala hamana taarifa yoyote iliyotolewa mpaka sasa.Kwa jinsi hali ilivyo na ratiba zilivyokaa mpaka sasahaitowezekana tena kwa chama hicho kufanya uchaguzi huo mkuu kwa sababu mwezi unaokuja wa Julai pilika pilika pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza.



Tukumbuke uchaguzi huo usipofanyika mwaka huuitakua in uvunjwaji wa katiba ya chama hicho.Sababu haswa ya kutofanyika haijawekwa waz,i lakini wadadisi wa mambo wanasema hazina kuu ya chama hicho imekauka fedha za ruzuku zimechotwa na wajanja wameenda kufungua mahotel ndani na nje ya nchi.

Kama ni mbinu ya Mbowe ya kuchelewesha kufanyika uchaguzi huo mpaka sasa basi atakua amefanikwa kuwa Mwenyekiti wa milele asiyepingwa aliyetawala kwa zaidi ya miaka 20 peke yake.Tukumbuke kwamba ratiba ya uchaguzi ilikua ni mwezi wa 3/2019 ndio kipindi amabachoMbowe alifanya sinema nyingi za kuwatoa wafuasi wa chadema kwenye reli kwa kujisababishia kesi nyingi zisizo na kichwa wala miguu kama vile kuruka dhamana na kwenda kutumbua fedha za ruzuku ughaibuni.
CHADEMA UCHAGUZI LINI?

Mbowe ni machine ingine mpaka mnaomba poo! Na bado!
 
Kawadanganze mafisi wa Lumumba....!
CCM MMEVUNJA KATIBA MARA NGAPI ya chama chenu na ya Nchi? Nani asiyejua kuwa CCM mnatawala nji hii kimabavu?Nani asiyejua kwa hakuna DEMOKRASIA YA KWELI ndani ya CCM hasa kipindi hichi cha JIWE??Kweli nyani haoni kundule....!!!!
Kwa hiyo chadema inavunja katiba yao kama ccm wanavyovunja?
 
Tangu mwezi wa tatu mwaka huu wa 2019 , ambao tuliambiwa kwamba Chadema itafanya uchaguzi wake MKUU wa kuchagua viongozi wa kitaifa .

Taarifa iliyowahi kutolewa na afisa habari wa chama hichi ndg tumanini makene mnamo mwezi wa agosti mwaka 2018 ilisema kwamba Chadema ingefanya uchaguzi huo mapema mwezi wa 3 mwaka huu wa 2019.

Ni miezi mitatu sasa imeshapita tangu muda huo uliopangwa upite na hatujaona dalili ya kufanyika kwa uchaguzi huo na wala hamana taarifa yoyote iliyotolewa mpaka sasa.Kwa jinsi hali ilivyo na ratiba zilivyokaa mpaka sasahaitowezekana tena kwa chama hicho kufanya uchaguzi huo mkuu kwa sababu mwezi unaokuja wa Julai pilika pilika pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza.



Tukumbuke uchaguzi huo usipofanyika mwaka huuitakua in uvunjwaji wa katiba ya chama hicho.Sababu haswa ya kutofanyika haijawekwa waz,i lakini wadadisi wa mambo wanasema hazina kuu ya chama hicho imekauka fedha za ruzuku zimechotwa na wajanja wameenda kufungua mahotel ndani na nje ya nchi.

Kama ni mbinu ya Mbowe ya kuchelewesha kufanyika uchaguzi huo mpaka sasa basi atakua amefanikwa kuwa Mwenyekiti wa milele asiyepingwa aliyetawala kwa zaidi ya miaka 20 peke yake.Tukumbuke kwamba ratiba ya uchaguzi ilikua ni mwezi wa 3/2019 ndio kipindi amabachoMbowe alifanya sinema nyingi za kuwatoa wafuasi wa chadema kwenye reli kwa kujisababishia kesi nyingi zisizo na kichwa wala miguu kama vile kuruka dhamana na kwenda kutumbua fedha za ruzuku ughaibuni.
CHADEMA UCHAGUZI LINI?

Mwanachama wa CCM anaejifanya ana uchungu mkubwa na Chadema!

Basi sawa!
 
Back
Top Bottom