Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,149
Mama unatafuta wa kuendelea kukukuna mpaka useme basi?Kenge wa njano na ma yako jumla jikite kwenye hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama unatafuta wa kuendelea kukukuna mpaka useme basi?Kenge wa njano na ma yako jumla jikite kwenye hoja
Wewe demu Angalia hapo View attachment 1155082
ACHA UMBEA MTOTO WA KIKE YA KWENU YAMEWASHINDA YA JIRANI MTAYAWEZA? NDO MAANA HAMUOLEWIWatakuambia oh sijui tuna kesi mahakamani kwa hiyo hatuwezi kufanya uchaguzi. Yaani akina Mbowe wanaomba hiyo kesi isiishe ili kusudi wanyooshe mambo yao. Ha ha ha. Kufa kufaana
Hebu inama kwanza halafu nikusikie unasema hiyo mtoto wa kike vizuri.ACHA UMBEA MTOTO WA KIKE...
Kweli kabisa mkuu ni sawa na hili kwamba Magufuli na CCM hawatawasaidia baadhi kuondokana na tatizo lao la kujiona wanajua kila kitu kumbe ni wenye matatizo makubwa ya akili!MBOWE NA CHADEMA HAWATAKUSAIDIA KUMALIZA TATIZO LAKO LA AKILI
Kumbe unamkubali Mh. Mbowe! 😂Wewe na nyumbu zingine deal na huyo, sisi lumumba wacha tudeal na mbowe, usitupangie.
huo nsio ukweli mengine yooote ni mbwembwe tu.. mkitaka kukopa magari, mitaji ya biashara, uwezeshwaji na hata cheo cha masharti ya kudumu we waone hawa jamaaIyo ni saccos sio chama.
Mbna kama James D?Mliambiwa wapi na nani kawaambia, pambaneni na tifu lenu huko Membe keshawatia dole mnaanza kushikana uchawi.
View attachment 1154851
Hizi ndio PhD za ccm alizosema wanazo wanachama wote wa ccm.Mauaji ya chacha wangwe hayawezi kuchuja mpaka haki ipatikane
Unazidi kuidhalilisha serikali ya ccm we nunda!Mauaji ya chacha wangwe hayawezi kuchuja mpaka haki ipatikane
Chacha wangwe kilimtokea nini alipotaka uenyekiti wa chadema?
Chacha wangwe kilimtokea nini alipotaka uenyekiti wa chadema?
Ndiye huyo ,wanajitafunia tu hapo LumumbaMbna kama James D?