Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Andaa na zawadi ya Uncle haraka na uende harusini,heshimu na kumpenda Shemejio.

Ukiendelee hivyo ujue umekuwa tayari mchawi atakayeshindikana huko mbeleeni.
 
Uende harusini ama usiende jamaa ataendelea kula tu dada yako mdogo. Cha muhimu usikose vyote, nenda angalao upige pilau na soda bila kula kusahau selfies [emoji3]
 
Da!!? Mshikaji sio POA hivyooo yaani kabisa ndio umekuja kunichana huku !!!

Ila sikukuomba ile misaada Ni kiherehere chako wewe na wazazi wako
Na yule dada yako sikumtongoza Ni shobo zake mwenyewe tu kujipendekeza kwangu ndio nikaona nimgonge ili asijisikie vibaya
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie? Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Amini nakuambia walianza uzinzi mapema Sana , amini hivyo mkuu.
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie? Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Mrejesho mkuu
 
Katika watu wenye akili za ajabu ninwewe, umesahau hadithi za kifalme na masimulizi ya biblia ya wafamle kijana akimfurahisha mfamle anapewa zawadi binti yake amuoe?hiyo ni heshima mnaunganisha undugu halafu jamaanamfahamu vizuri historian yake? Tatizo siku hizi hawachaguliani wachumba lakini wazazi wangependa wanao waoane na watoto was marafiki zao ai watu walio around ambao wanawafahamu. ACHA kuzingua
 
Katika watu wenye akili za ajabu ninwewe, umesahau hadithi za kifalme na masimulizi ya biblia ya wafamle kijana akimfurahisha mfamle anapewa zawadi binti yake amuoe?hiyo ni heshima mnaunganisha undugu halafu jamaanamfahamu vizuri historian yake? Tatizo siku hizi hawachaguliani wachumba lakini wazazi wangependa wanao waoane na watoto was marafiki zao ai watu walio around ambao wanawafahamu. ACHA kuzingua
Inasikitisha sana
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie? Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Muoe wewe huyo dada yako
 
Back
Top Bottom