Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maendeleo hayana mataga
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 mshikaji acha hizo bhana.
By the way nilitarajia mleta mada angefurahi kwa sababu urafiki wao umekuwa undugu (ni mtu na shemejie sasa), badala yake anakuja na bandiko la malalamiko.
Eti
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie? Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

una matatizo si bure
 
Huyo shemeji
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie? Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Huyo shemeji yako kabisa tena muheshimu mmeunganisha vinasaba,mwanae mpwa wako.​
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie? Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Na wewe mwaka huu lazima nikuoe kudadeki zako! Huwezi kuendelea tu kuchezewa hapo Lumumba miaka nenda! Dada yako kaolewa, wewe kazi yako kuwakatikia tu viuno mabosi wako hapo Lumumba!

Na baada ya ndoa, nitakupeleka mwenyewe kwa Kamanda Mbowe ili ukamsalimie na kupiga nae selfie!! Na utatambulika kama mke halali wa Kamanda Tate Mkuu 😇
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie? Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Khaa. Sasa dada yako ulitaka aolewe na nani?
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie? Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Mkuu ulitaka umuoe wewe dada yako??? Acha jamaa enjoy utam
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28] ukute ata wakati mpo wote alikuaacha ukiwa umeweka miguu kwenye beseni lenye maji akaenda tungua bikra sasa Kama kamuoa kabisa unashangaa nini? We jamaa kumbe uzembe haukuanza leo acha mwamba ataafune cha mjinga!

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂
 
Sometimes kwenye maisha unaeza kuwa njia ya wenzako kufanikiwa, sasa badala ushukuru Dada ako kaolewa na rafiki ako tena kama familia may be unamjua in and out as mmekua wote, kwanza bora we ni mwanaume maana ungekuwa wifi ww kuna watu wangejuta.
 
Ko hyo mbususu ya dadaaako ulitaka uile wewe!!?

Acha wivu mzeee😀😀😀😀
 
Wanawake wanavosotea ndoa wewe unataka uzuie riziki ya Dada yako, na je kama walianza mapenzi zamani utajuaje?
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie? Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Acha hizo em mwache rafiki ako aoe na unatakiwa uhudhurie harusi yake bila kukosa!

Au wewe unaoaga dada zako..?!
 
Back
Top Bottom