Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ni bwogazi i wish ungezaliwa wa kike
 
Hapo ndio urafiki wenu utaiva kuliko hapo awali mkuu. Hata usiumie.
 
comments za hapa zimenivunja mbavu, daah pole sana mtoa mada.
 
Unajua kwanini baba yako kakubali jamaa amuoe. Amesha ona jamaa ni mtu wa aina gani kwani ameishi nae kwa zaidi ya miaka miwili. Ndio maana alimlipia ada na kumshonea uniform willingly.
 
Kwa hiyo ulitakaje umuoe au nan amuoe ...hivi nyie ni jinsia gan mna mambo ya kijinga
Mi skumaindi nilchukulia poa,nilikuwa nampa mifano mtoa Uzi ili aone wake kaolewa n jambo zuri,sie wetu waliishia kupgwa tu,tatzo mijitu ya jf mkogo spidi kwenye button bila kufikirii aliecomment alimaansha nn,watoto wamekuwa wengi na vivulana humu
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
ulitaka jamaa akuoe wewe?
 
Mkuu kipindi anakuja home kwenu!kumbe sister ako alimletea shobo akawa anajichapia tu,ukiangalia TV yeye anakutoroka anakugongea dada hahhaa mwamba mkali!Ila fresh amerudisha fadhila au kwani k yako?mbonaa Kama unamfokea mshikaji
 
daah kuna msela wangu namkulia dada yake , tunapiga yetu mkoa mmoja hivi akija huku anakuwa mke kabisa , me sioni kama namkosea heshima maana hii kama kazi ya uma ukigoma mshahara mdogo kuna watu watafanya hata bure
 
Ukosefu wa adabu wa hali ya juu sana
kila demu ni dada wa mtu fulani, kushindwa kufanya yetu sababu ya kaka yake ni ujinga, sababu yeye mwenyewe demu anahitaji hiki, anahitaji mtu wa kumtoa stress anahitaji kufeel sexy anahitaji game, niko very sure kuna somebody anawashugulikia dada zangu muda huu pengine
 
Watu wengi wanaonekana kuunga mkono jamaa kwa alichokifanya eti kisa anaoa, stupid.

Hawa ni watu ambao wako tayari hata washikaji wao wawaatafune mama zao na kama watawaoa haina shida.

Kuoa bado haku-justify ujinga alioufanya mshikaji.

Huyu mtu alikua anachukuliwa kama kaka, ndugu wa familia, wazo la kuanza kula wadogo zake hata kama mwishoni anaoa alilitoa wapi kwanza?

Hata kama ningekua mimi, hata kama anaoa ila ile heshima niliyokua nampa awali naiondoa yote.

Kupata tu wazo wa kuwatafuna ndugu zangu pale nyumbani baada ya mimi kumkaribisha ni uvunjifu wa heshima na uaminifu.

Mimi binafsi hiyo harusi uwezekano wa kutokwenda ungekua mkubwa sana.
Ila una hoja ya msingi sana
 
Ulichoandika sina uhakika kama walau ulipata dakika tatu za kutafakari.
Kwenye huu uzi kwa upande wangu naona kila mtu ana hoja ya msingi,ukiutafsiri negative basi utakua uko sahihi kwa hoja zako na atakaechukulia positive bado atakuwa sahihi kwa hoja zake,hoja zipo balanced
 
Labda Mama yako, wa kwangu nilishamzika! Wewe utiwe mimba ndio utakua na adabu! Mbuzi kabisa wewe! Jifunze kuwa na adabu wewe corona! Eti jamaa kwao alikua Maskini, pumbavu sana wewe, ulidhani umaskini ni permanent situation. Hahaha lazima awatie mimba wote mkamsujudie, swaini kabisa wewe
Hawa ndio watoto wa mabwanyenye wa ya ccm,kila siku lipo hapa jukwaan kueneza propaganda za kizushi tuu ili waendelee kubaki madarakani,,
 
Kila siku upo hapa jukwaani kumtukana Mbowe na upinzani ,bahati mbaya mshua wako amejaliwa litoto limoja la kiume kichwa maji wengine wa kike akaona huyo jamaa ndio anaweza kuwa mrithi mzuri wa mali zake tofauti na ww umebaki kutukana tuu hapo lumumba
 
Back
Top Bottom