Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ufala mwengine ndo maana corona inatupiga kinyoko sasa we ulitakaje au tumshauri amwache uleee Mjomba
 
Happ Kuna faidambili. Kwanza atalipa fadhila kwa kuwalea n kuwasomesha wajomba zako mzigo ambao pengine mngeulea ninyi Kama familia endapo angezalia home. Pili na wewe umepata chansi ya kwenda kulala sebuleni kwa shemeji huku ukiangalia TV usiku kucha Kama wenzio wengi wanavozililia hizo nafasi.
Hahahha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ameoa anaye mfahamu vizuri, stamina alioa ambaye hamfahamu yakamkuta.
Jamaa sio ndugu yake alikuwa rafiki tatizo liko wapi? Ulitaka dada yako aolewe na nani
ko kwakua unamfaham dada yako vizuri unaweza kumuoa
 
Hata usipoenda harusini itafanyika tu. Kwani wewe ndio bibi harusi so usipoenda hakuna harusi?
 
Tumejua dada kaolewa na Dr, familia mtafundishwa kujikinga na corona
 
Happ Kuna faidambili. Kwanza atalipa fadhila kwa kuwalea n kuwasomesha wajomba zako mzigo ambao pengine mngeulea ninyi Kama familia endapo angezalia home. Pili na wewe umepata chansi ya kwenda kulala sebuleni kwa shemeji huku ukiangalia TV usiku kucha Kama wenzio wengi wanavozililia hizo nafasi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daadeki hizi comment hizi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazazi wako ambao ndo wanajua uchungu wa binti yao wamefurahia sana maana yake mwamba wamemkubali atawatunzia binti yao vizuri.

Wewe fanya ku-take it easy. Ila wanalumumba vichwa maji sana nyie sijui akili zenu zinakuwa na funza gani.

Samahani kwa niliowakwaza sikuwalenga wote.
 
Ikifika mida hii jamaa yetu.anapata tabu sana. Anafikiria dahhh dada angu anakaribia kuchezea ukuni wa rafiki yangu saa hz
Acha uboya ndugu kila anaeolewa ni dada wa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kumuoa nduguyo brother. Mimi nikikwambia safari ya kupata mke unaweza kuniona mbaya kabisa. Mtu anayeoa ni mzuri x1000 kuliko anayekula kwa kuibia na mwisho anambwaga.
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwenye harusi nenda ila si sawa kwa alichofanya kwenu. Ushauri ninaokupa ni kumbaka huyo jamaa kisha nenda kamsanifu kwenye harusi yake uone kama atakusalimia.
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni yeye kuwa maskini au hupendi dada yako aolewe au unataka uolewe wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom