Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Kamtia mimba na kamuoa inakuuma..Angemkataa je.?
Yote aliyotenda baba yako ilikua sehemu ya msaada tu kama inavyotakiwa binaadamu yoyote kusaidia wengine. Kusaidia hakuhalalishi undugu wa damu hadi kuwe na miiko. Jamaa kafanya vyema kaamua kulipa fadhila kwa kuimarisha undugu daima (kama ni wakristo) mwa ndoa.
😃😃 baba yake anajicho la3. so baada ya kugundua kuwa rafiki wamtoa mada nimtu fulanihivi special akaamua aanze kumuandaa mapema ili aje kuwa mkwewe...sema mtoa mada ameshindwa kuyaona maono ya baba yake
 
Happ Kuna faidambili. Kwanza atalipa fadhila kwa kuwalea n kuwasomesha wajomba zako mzigo ambao pengine mngeulea ninyi Kama familia endapo angezalia home. Pili na wewe umepata chansi ya kwenda kulala sebuleni kwa shemeji huku ukiangalia TV usiku kucha Kama wenzio wengi wanavozililia hizo nafasi.
😃😃😃
 
Kiukweli iyo haina tofauti na mtu msaliti....ilikuwa kama dada ake japokuwa kuna element fulani kwako labda ulikuwa unalamba maana siku hizi fashion watu kulana huko mageti makali,(kuna mbwa wakali)

Sent using ubishi.com
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa alikosea kumtundika mimba dada yako,ilitakiwa akutundike mimba wewe ili uache kutoa kijambio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa namna ulivoandika inaonesha una hasira sehemu zote kooni, kifuani, kichwani, tumboni, na mikonon na kinacjokuuma zaidi dada ako kupachikwa mimba na Kisha kuolewa! Duuuh sipat picha Kama unawashwa mwili mzima vile Kama nakuona hiv duuh pole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi wanaonekana kuunga mkono jamaa kwa alichokifanya eti kisa anaoa, stupid.

Hawa ni watu ambao wako tayari hata washikaji wao wawaatafune mama zao na kama watawaoa haina shida.

Kuoa bado haku-justify ujinga alioufanya mshikaji.

Huyu mtu alikua anachukuliwa kama kaka, ndugu wa familia, wazo la kuanza kula wadogo zake hata kama mwishoni anaoa alilitoa wapi kwanza?

Hata kama ningekua mimi, hata kama anaoa ila ile heshima niliyokua nampa awali naiondoa yote.

Kupata tu wazo wa kuwatafuna ndugu zangu pale nyumbani baada ya mimi kumkaribisha ni uvunjifu wa heshima na uaminifu.

Mimi binafsi hiyo harusi uwezekano wa kutokwenda ungekua mkubwa sana.
Kutafuna na kuoa ni vitu tofaut, kutafuniwa ni kuharibiana madada kuoa ni kuboresha undugu, japo urafk utafifia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningeshangaa kama wewe ndo unaolewa, ila hapo hakuna tatizo istoshe umesema umekua pamoja naye home wanamkubali, shida ipo wapi?, angekuwa muhuni flani hivi hapo sawa!!
 
Mawili huyu jamaa anamdharau mshikaji wake kwamba ni choka mbaya au amepitwa kimafanikio na mshikaji wake anaona wivu wamesoma wote na amepitwa kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.

Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!

Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app

Usikubali muoe dada ako nadhani nyie ndo mnaendana
 
Bora wew,mim Kuna jamaa aliishi nyumban alkuja rudia darasa la saba,baadae wakakutana na Dada angu Mkubwa huko dar,jamaa akatumia vitu sana tu,naona baadae sister alimlazimisha amuoe,jamaa akatuma wazee wake ambao n ndugu zetu lakin baadae jamaa alichomoa alishia kutoa kishika uchumba
 
Bora wew,mim Kuna jamaa aliishi nyumban alkuja rudia darasa la saba,baadae wakakutana na Dada angu Mkubwa huko dar,jamaa akatumia vitu sana tu,naona baadae sister alimlazimisha amuoe,jamaa akatuma wazee wake ambao n ndugu zetu lakin baadae jamaa alichomoa alishia kutoa kishika uchumba

Kwa hiyo ulitakaje umuoe au nan amuoe ...hivi nyie ni jinsia gan mna mambo ya kijinga
 
Back
Top Bottom