Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mm imenitokea na jamaa yupo humu, tumejenga karibu. Tunaishi kwa amani kabisa, hapa familia yangu ilienda kushinda Kwake leo ndo natoka kuichukua. Sio issue mkuu, waombee tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kutofautisha kati ya ndugu na rafiki?
Rafiki yako mnaweza kuambiana jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni, shemeji yako mtajadili hayo?

Huyo siyo rafiki tena ni shemeji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona haina shida mkuu.Huyo jamaa ni ndugu yako sasa sio rafiki tu.

Vipi kama dadako angepigwa mimba na majamaa hapo mtaani afu wangemtelekeza?Kipi bora?
Hata kama!
Yaani huyu jamaa kazunguka koote kule lakini dada yake Elitwege ndiye aliyeonekana anafaa kutafunwa.
Shame kwa wazazi wa Elitwege maana njaa imetamalaki kwao!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu dada yako ulitaka umuowe wewe?

GunFire
 
Akimuacha utamuoa???? Shenz type jamaa unamuonea wivu Dada yako??
 
Unajua kutofautisha kati ya ndugu na rafiki?
Rafiki yako mnaweza kuambiana jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni, shemeji yako mtajadili hayo?

Huyo siyo rafiki tena ni shemeji

Sent using Jamii Forums mobile app
Koo kupitia hicho tu Roho ikakuuma kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Karibu getto sa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamtia mimba na kamuoa inakuuma..Angemkataa je.?
Yote aliyotenda baba yako ilikua sehemu ya msaada tu kama inavyotakiwa binaadamu yoyote kusaidia wengine. Kusaidia hakuhalalishi undugu wa damu hadi kuwe na miiko. Jamaa kafanya vyema kaamua kulipa fadhila kwa kuimarisha undugu daima (kama ni wakristo) mwa ndoa.
Jamaa ana akili sana, amefanya jambo jema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu trust me rafiki yako hawezi kumpa shida Dada yako, Ni MTU ambaye anamuelewa Dada yako na maelewano yao yalianzia toka akiwa hapo home.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom