Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

😂😂😂 ila vipi ..yule best friend wako aje amtie mimba dada ako pengine wewe huelewi chochote af baadae wasuluhishe kwa kusema atamuoa. Utakuwa comfortble na kukenua kabsaaa ???....
Kama hakubakwa hamna shida. 😁
Mwenye dada hakosi shemeji.
 
Mleta mada kama ni Ke sawa. Nitashangaa ukiwa ni wa kiume.
 
Baada ya kusoma post ya Kwanza na kupitia uzi kusoma "comments za mleta mada anavyojibu watu humu,sasa nimeelewa moja kwa moja kuwa mleta mada alikuwa analiwa na huyo anaemuolea dada'ke.

Asiwaumize kichwa, huyu mleta mada ni wa kumuombea tu aachane na ushoga.
Sawa sawa nakazia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm imenitokea na jamaa yupo humu, tumejenga karibu. Tunaishi kwa amani kabisa, hapa familia yangu ilienda kushinda Kwake leo ndo natoka kuichukua. Sio issue mkuu, waombee tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulitaka aolewe wapi na nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na shemeji mwenyewe Usher-smith bhasi sawa
Hahahhah [emoji23]
Mimi bonge la shem
Ukija kututembelea home full breakfast mayai, mikate, chapati Chai ya maziwa nk.
Lunch ndizi nyama
Nakupa na gari ukauze sura
Na hela ya matumizi unapata
[emoji23]
Utatamani uhamie kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini sio fair japo mnatetea,hapo ni kama vile kamuoa dada yake.Mi mwenyewe ningemaindi mtu mmecheza wote tangu utotoni huko mpaka mmekua kama ndugu unaoaje dada mtu.
ameoa anaye mfahamu vizuri, stamina alioa ambaye hamfahamu yakamkuta.
Jamaa sio ndugu yake alikuwa rafiki tatizo liko wapi? Ulitaka dada yako aolewe na nani
 
Hahahhah [emoji23]
Mimi bonge la shem
Ukija kututembelea home full breakfast mayai, mikate, chapati Chai ya maziwa nk.
Lunch ndizi nyama
Nakupa na gari ukauze sura
Na hela ya matumizi unapata
[emoji23]
Utatamani uhamie kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Vyote ulivyotaja vinanifaa

Nipe address bwa shemeji 😊😊😊
 
Back
Top Bottom