Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Jiandae nawewe sasa ukaishi kwa shemeji yako asubuhi uwe unasafisha gari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kizazi cha mviringo nikaushie
We jamaa vp dada yako kaolewa we unanuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
BARAKOA mkubwa wee!!!!Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujua kuwa dada anaenda kutinduliwa na mshkaji wangu, noma sana ila kwangu peace tu coz mwisho wa siku sitamuoa sista.Wanaume wana wivu sana!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kujua kuwa dada anaenda kutinduliwa na mshkaji wangu, noma sana ila kwangu peace tu coz mwisho wa siku sitamuoa sista.
Nimefurahishwa na majibu ya wadau humu, dah!!
We ulitakaje? Umuoe we mwenyewe au apewe mimba kitaa Na mabaharia ?Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Chora
Wewe ungeolewa?Acha ujinga wewe ungemuoa wewe?
Sent by IPhone
Umri wako niufahamu please!Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nadhani Wazazi wako hawajakubali kisa huyo jamaa ni Dr Kama unavyosema, bali pengine wamekubali kwasababu wamependana.Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app
At least komenti yako imepoza machungu yanguMtafute dada yake na wewe umtombee au kama ukisikia anamtoto wa kike wa nje we mtombe huyo mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mpumbavu sana, kwanza umeanza kwa kumdharau mshikaji eti kwao walikuwa maskin, kwahyo ulijua wakiwa maskin ndo mshikaji atakufa maskin, acha afaidi utamu wa dada yako,Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko powa kabisa,tena kwa wazazi ndio wanapata faraja sana kutokana na kuelekea umri tegemezi huku wakiwa na mkwe/mtoto wao waliyemlea.Na huyo anawezakuwa mzuri kwa wazazi wako kuliko weweHili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app