Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Happ Kuna faidambili. Kwanza atalipa fadhila kwa kuwalea n kuwasomesha wajomba zako mzigo ambao pengine mngeulea ninyi Kama familia endapo angezalia home. Pili na wewe umepata chansi ya kwenda kulala sebuleni kwa shemeji huku ukiangalia TV usiku kucha Kama wenzio wengi wanavozililia hizo nafasi.
😂😂😂😂😂😂 kwahio jamaa afurahie tu maana anaonekana hata kazi hana.
 
DAAH na HAYO mapenzi yalianza kitambo sana sema tu niliona jau kukwambia ndio maana jamaa akahamia hapo kwenu

Alikuwa ananihadithia mkisoma mkichukuliwa na usingizi mwamba anaamka anaenda tafuna mdogo wako

ila shukuru bora ameoa
 
Watu wengi wanaonekana kuunga mkono jamaa kwa alichokifanya eti kisa anaoa, stupid.

Hawa ni watu ambao wako tayari hata washikaji wao wawaatafune mama zao na kama watawaoa haina shida.

Kuoa bado haku-justify ujinga alioufanya mshikaji.

Huyu mtu alikua anachukuliwa kama kaka, ndugu wa familia, wazo la kuanza kula wadogo zake hata kama mwishoni anaoa alilitoa wapi kwanza?

Hata kama ningekua mimi, hata kama anaoa ila ile heshima niliyokua nampa awali naiondoa yote.

Kupata tu wazo wa kuwatafuna ndugu zangu pale nyumbani baada ya mimi kumkaribisha ni uvunjifu wa heshima na uaminifu.

Mimi binafsi hiyo harusi uwezekano wa kutokwenda ungekua mkubwa sana.
 
Hapo ndio udugu umekolea na pengine ulikuwa mpango wa mzee wako toka mwanzo alivyokuona wewe boya akaona atafute mtoto mwingine wa kiume mwenye akili atakae simamia familia na atakuwaje mtoto wake bila kumuozesha binti yake.
Acha uboya huo ulikuwa ni mpango mkakati wa mzee na dada alijulishwa na mama yako toka mwanzo.
Mbali na hayo nampenda dada yako kamwe sitamtesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wako alishafikisha umri wa kuolewa na amemaliza masomo au amemkatisha? Japo unasema amemuoa, na baadae unaongelea kuhudhuria harusi yao, inaonesha hawajaoana ila wameshapeana mimba.
Kwa ufupi, mlikuwa msaada kwa familia yao, mtapata baraka kwa wema wenu, na pengine hata udaktari umetokana na msingi wa elimu na malezi mliyompa.
Ukiwa mtu mzima utakuja kugundua kuwa asilimia fulani ya ndoa, huchipua kutokana na ujirani na kuingiliana kwa wakazi wa eneo fulani. Hivyo kukulia hapo kwenu ndio kumepelekea apate jiko hapo hapo, na mdogo wako apate mume hapo hapo.
Rafiki mlioshibana sasa anakuwa ndugu, hakuna ubaya.
Nina imani na wewe ulipiga hatua nzuri kimaisha kama rafiki yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi wanaonekana kuunga mkono jamaa kwa alichokifanya eti kisa anaoa, stupid.

Hawa ni watu ambao wako tayari hata washikaji wao wawaatafune mama zao na kama watawaoa haina shida.

Kuoa bado haku-justify ujinga alioufanya mshikaji.

Huyu mtu alikua anachukuliwa kama kaka, ndugu wa familia, wazo la kuanza kula wadogo zake hata kama mwishoni anaoa alilitoa wapi kwanza?

Hata kama ningekua mimi, hata kama anaoa ila ile heshima niliyokua nampa awali naiondoa yote.

Mimi binafsi hiyo harusi uwezekano wa kutokwenda ungekua mkubwa sana.
Kweli kabisa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa wa ajabu sana. Jamaa amefanya vema kwani hata wazazi wenye binti yao mpendwa wamebariki wewe kaka tu unamind. Tena dada yako kuolewa na jamaa yako unayemjua ni jambo zuri. Dumisha urafiki na shemeji yako acha utoto.
Uende usiende ndoa itafungwa.
 
Back
Top Bottom