Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Amelipa fadhira maana Dada yako angeburuzwa na wajuba bila kuolewa, huyo ni rafiki mwema mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maana ya rafiki?

Rafiki ni mtu mnatunziana siri nzito sana, watu wanavamia bank na marafiki siyo ndugu, marafiki hupanga hata mauaji na marafiki na hiyo siri hubaki mioyoni mwao tu.

Kiufupi rafiki yako kuoa Dada ni usaliti mkubwa na usimwamini tena kwenye mission yoyote ya kutafuta hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umeumia sana, kamuoe dada yake au ndugu yake wa kike ili iwe bilabila. Kitaalam tunaita cross matipulikesheni.

Nawatakia ndoa njema yenye baraka tele.
 
Kuoa dada wa rafiki sio jambo baya kabisa, ila kwangu mim nafikiri busara ni kumjulisha rafiki yako kwanza kabisa kabla hujaamua kujilipua, kumpa dhamira, kupata ushauri na kusikia nini maoni yake ili kulinda urafiki wenu pia....ila tu challenge ni pale ukigombana na dada yake, urafiki unaweza yumba pia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hutaki dada yako aolewe basi nenda ukamuoe wewe.Pumbavuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mkuu tuliza akili, kilichopo muheshimu shemeji yako tu.....labda kama unahofia mienendo ya rafiki yako na unajua but kama kaamua kuoa we kubali matokeo
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI.
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ulitaka aoelewe na nani?
 
  • Thanks
Reactions: amu
Angekua anapiga tu na kusepa hapo ingeone anatabia mbaya lakini jamaa anaona shida iko wapi?. Acha wivu.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kamtia mimba na kamuoa inakuuma..Angemkataa je.?
Yote aliyotenda baba yako ilikua sehemu ya msaada tu kama inavyotakiwa binaadamu yoyote kusaidia wengine. Kusaidia hakuhalalishi undugu wa damu hadi kuwe na miiko. Jamaa kafanya vyema kaamua kulipa fadhila kwa kuimarisha undugu daima (kama ni wakristo) mwa ndoa.
Well said.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mimi pia sielewani na shemeji yangu kisa kama hiki hiki hadi nashindwa kuelewa kuna kosa gani
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kuoa dada wa rafiki sio jambo baya kabisa, ila kwangu mim nafikir busara ni kumjulisha rafiki yako kwanza kabisa kabla hujaamua kujilipua, kumpa dhamira, kupata ushauri na kusikia nin maoni yake ili kulinda urafiki wenu pia....ila tu challenge ni pale ukigombana na dada yake,urafiki unaweza yumba pia!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijaunga mkono kusema jamaa alifadhiliwa au alikuwa maskini maana hiyo ni life tu..
ila kwa rafiki yangu kuoa dada angu pengine bila mimi kujua hadi wanapeana mimba, watajua wenyewe maana wote ni watu wazima ila urafiki wangu na yeye ndo ushakufa. Huwa sina mazoea na mtu anaeitwa shemeji
 
Back
Top Bottom