Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

Lakini sio fair japo mnatetea,hapo ni kama vile kamuoa dada yake.Mi mwenyewe ningemaindi mtu mmecheza wote tangu utotoni huko mpaka mmekua kama ndugu unaoaje dada mtu.
Hapo ndipo undugu umeimarishwa,rafiki anaweza kukukimbia muda wowote
 
Jamaa kamheshimu kwa kumwoa dadake kwa harusi eti analalamika
Mbona haina shida mkuu.Huyo jamaa ni ndugu yako sasa sio rafiki tu.

Vipi kama dadako angepigwa mimba na majamaa hapo mtaani afu wangemtelekeza?Kipi bora?
[emoji116]huu ushauri umemshauri sawa na akili yake ya kijani
Huyo usiongee naye maisha yako yote.
Pumbavu zake
Jamaa mjinga kweli
acha wivu wewe, basi muoe wewe huyo dada yako maana unaona kama jamaa ana faidi
Anashangaza sana
dah! watu wanaoana ndugu sembuse na rafiki? hebu acha wivu wakijinga yaani unamuonea wivu dada ako
Inauma kama unaolewa wewe vile.kukafanyia dharau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha hizo jamaa ndo ameunga undugu rasmi,VP kama angepigwa mimba ukaachiwa mzigo?wewe nenda kiroho safi na zawadi usisahau!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ni mpumbavu sana, kwanza umeanza kwa kumdharau mshikaji eti kwao walikuwa maskin, kwahyo ulijua wakiwa maskin ndo mshikaji atakufa maskin, acha afaidi utamu wa dada yako,

Kinachokuuma siyo mshikaji kuoa dadaako bali mshikaji kuwa doctor, acha wivu boya wewe utakosa wa kukuzika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ya leo nani anapapalika na eti udokta?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kusoma post ya Kwanza na kupitia uzi kusoma "comments za mleta mada anavyojibu watu humu,sasa nimeelewa moja kwa moja kuwa mleta mada alikuwa analiwa na huyo anaemuolea dada'ke.

Asiwaumize kichwa, huyu mleta mada ni wa kumuombea tu aachane na ushoga.
 
Baada ya kusoma post ya Kwanza na kupitia uzi kusoma "comments za mleta mada anavyojibu watu humu,sasa nimeelewa moja kwa moja kuwa mleta mada alikuwa analiwa na huyo anaemuolea dada'ke.

Asiwaumize kichwa, huyu mleta mada ni wa kumuombea tu aachane na ushoga.
Unaelewa maana ya rafiki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!

Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda acha ujinga bwana. Jamaa sii anaoa.
Tena jamaa ana akili kweli kaoa kwenye familia inayojali utu.
Jamaa kajiongeza kweli kweli.
 
Ukiskia kikulacho kiungoni mwako ndo hii sasa. Usiende kabisa kwenye hiyo harusi

Sent From Galaxy S9
Kumbe na wewe ni wale wale? Ndiyo maana unajiita hivyo. Khaa! Mpo wengi sana, tutaacha kugigwa na majanga ya corona? Laana hizo wacheni.
 
Back
Top Bottom