Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Sawa sawa
Mwisho kabisa. Jaribu sana kutumia therapy ya bamia unaweza kupata akili kiasi
😂😂😂 hii ikoja mkuu,nielekeze kidogo
 
Hahahaah
Jitahidi kutoielewa mkuu. Zingatia zile za juu unaweza kusolve kisha baadaye ndo uje kumalizia kusoma utanielewa😅😅😅😅😂🤣
Nilikuelewa vizur kamanda. I just tool it positivelly
 
Ila na wewe mkuu baba ako mzazi anatukanwa mbele ya kadamnasi we unakenua tu 😬😬 hopeless tunataka idadi ya singo maza iongezeke bado hawatoshi
 
Mwanamke akitombesha nje huwa anatoka mazima. Na ukimg'ang'ania ni sawa na kumuongezea speed ya kukuumiza. Hizo picha aliziweka makusudi ili uzione uanzishe mtiti asepe.

Jambo kuu kwa mwanamme ni kuwa na uwezo wa kumuacha mwanamke. Wewe unapaswa kujua zama zako zimekwisha, sepa na kaanzishe maisha mapya. Tafuta binti mbichi wa 2000 oa.

Watoto wako wasikuumize kichwa sana, uzuri mama yao ana ajira, hawawezi kufa njaa na nyumba waachie itawasaidia mbeleni. Kwa sasa kata mawasiliano ya watoto na mama yao.

Huyo mkeo wa zamani ipo siku atakurudi analia, katu usijefanya kosa la kumpokea.
 
muache rafiki yako ammalize tu,pole sana
 
Bonge la ushauri wifi, afate huu ushauri wala asijichoshe na huyo mwali kigego..!!

Huyo akili zinafyatukia ukubwani, mume mwenyewe mpole km ana hasira sana si angemrudishia hata na mwiko wa ugoko..!! 😹😹😹
🤣🤣🤣 Angejifanya anaota angemzibua mbao wa tumbo ingekuwa droo🤣🤣
 
Hii ni chai,kesi za ndoa hakuna kulazana lockup kihivyo ,ikitokea ni masaa machache tu,kesi za ndoa sio criminal
Kesi ya kumpiga mtu na kudhuru mwili ni jinai, msidanganyane hapa. The fact that alilala lockup na ana dhamana ambayo inabidi aripoti frequently means kulikua na ushahidi either alimuumiza vibaya au kulikua na mashahidi walioona wakati tukio linafanyika, mbali na hayo yote mwenyewe amesema alikiri kosa. All in all kupiga na kudhuru mwili nje au ndani ya ndoa ni kosa la jinai /criminal offence. Mara nyingi ndani ya ndoa wanawake wanashawishiwa either kutoripoti au kufuta mashtaka na kwenda kuyamaliza nyumbani na ndiyo maana wengi wenu mnafikiri kupiga au kudhuru wanawake siyo jinai.
 
Tuambie ni issue Gani ya kuvunja uaminifu alifanya, what if unamsingizia? Na ndio ikawa source ya hasira zake ?
All in all anazingua .
 
Vita aichagui silaha na vita haina macho.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Watu wengi kwenye hii thread hawataki kukuambia ukweli. Wanamlaumu mkeo kukupeleka polisi, kudai talaka na kukataa suluhu za familia.

Ila ulipoanza kukosea ni kumpiga mkeo, that was your downfall. Ulifikiri baada ya uliyomtendea atakusamehe na yataisha, sasa amekataa kukusamehe wala kuishi na wewe tena. Je umejiuliza kwanini? kwa wanawake wengi, mwenza wako akikupiga mara ya kwanza, haitakua mara ya mwisho (pia inawezekana umeshampiga before now amechoka).

Anyway, hapo hakuna ndoa tena, roho za visasi zimeshaingia na mnaweza kufikishana pabaya zaidi. Fuateni taratibu za kisheria za talaka muachane mazima. Kama unajali kuhusu watoto wako jitahidi kumaliza hii kesi ya kumpiga nje ya mahakama, ukipatikana na hatia ya kesi ya ukatili itaathiri custody ya watoto wako huko mbeleni, hasa kama watoto bado ni wadogo.

Kumroga mkeo siyo solution, watoto wako ndiyo wanaopata shida, na kiroho utakua umechagua kuamini miungu watu na nguvu za giza.

All in all pole sana, tunakuombea uvuke hili pito salama wewe pamoja na watoto wako 🙏.

Ubarikiwe!
 
Kakutukania Baba yako mbele yako na bado una kesi moj tu ya talaka?
 
Kwanza nikupe pole kwa madhila uliyoyapata,pili naomba nikusahihishe kidogo,sio watoto wako ni watoto wenu,mentality ya mwanaume kudai watoto ni wake sio sawa,hao watoto ni wenu wewe na mkeo.
Kuhusu jambo hilo mimi nakushauri mtimizie hitajio lake la kumpa talaka ili wote muwe na amani,utapewa plan ya kuwatunza na kuwaona watoto na wakikua watoto watakutafuta.Unampa kichwa kadri unavyogoma kutoa talaka.Toa talaka na muachie Mungu kila kitu na matokeo utayaona
 
🤣🤣🤣 Angejifanya anaota angemzibua mbao wa tumbo ingekuwa droo🤣
Mbao hautoshi sema mteke mpk adondoke akiona kamind unapandisha na shetani kuzuga 😹😹😹
 
Kwanini usitafute wakili?
Au suala la kulazwa lock up mara kwa mara we unaliona liko sawa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…