Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Bro, wewe ni mwanaume dhaifu sana na mkeo analijua ilo. Huyo rafiki yako anataka kukupa msaada amfunge huyo mwanamke kwa sababu ni mzoefu wa mikasa ya namna hiyo ulipomueleza tu akasoma mwisho wako ni nini. Ila kwa kuwa wewe ni dhaifu basi unastahili kukutwa na kila anguko na utashuhudia anguko lako kama unatazama muvi.
 
Akizubaa anatangulizwa yeye, unice umemzidia jamaa mpaka kiburi ya mkewe inazidi kuongezeka. Kadri unavyozidi kujishusha na kumbembeleza ke ndio kiburi yake inapanda kwa level hiyo hiyo.
Kabisa mkuu...huyu jamaa bado hajawajua vizur wanawake...huyu mwanamke hatokaa kumuacha jamaa afurahi either jamaa afungwe au afe
 
Tatizo ni kukuzidi mwaka mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…