Mshtuko: Bajeti ya Wizara ya Elimu Zanzibar ni karibu nusu ya Bajeti ya Elimu Tanzania Bara

Mshtuko: Bajeti ya Wizara ya Elimu Zanzibar ni karibu nusu ya Bajeti ya Elimu Tanzania Bara

Huyu Rais. Tuliyenae anatumia vibaya nafasi yake kuinufaisha Zanzibar.
Ndio, amegundua Watanganyika ni mazuzu kwenye kutetea maslahi yao.

Lakini hata bila Samia Tanganyika bado imekuwa ikibakwa siku zote kwenye huu Muungano.

Balozi Ali Karume katika huu uamsho wake mpya wa kisiasa kasema Mu-Unguja hawezi hata kupata ardhi Pemba, anabaguliwa, lakini akienda Bara hakuna maswali, ardhi ubwete, Zanzibar kasema inafaidi Muungano. Akatahadharisha kwamba siku Watanganyika wakiamka usingizini "wakalichekecha," Zanzibar itakoma kuringa. Ally Karume huyo, wazi wazi.

Tanganyika na vichwa vyetu vizito kipi hapo bado hatukielewi kuhusu mzigo wa Muungano?
 
Labda tuhoji matumizi na vipaombele kati ya Bara na Visiwani....
Sasa kama Vipaombele walivyowasilisha vinamashiko(Utekelezaji tuache kwanza) na kuonekana ni vya msingi, sisi vya kwetu ikaonekana vimekaa kimchongo, basi mwenye mipango mizuri anapewa..
 
Wenzetu wanajenga shule za ghorofa sisi tumeng'ang'ana na za chini.
Halafu tunashangaa matumizi yao yakiwa makubwa.

Pia wanatamanubsanankuwa na shuke za chini kama za kwetu, lakini ardhi yao ndogo, inabidi waende juu ili japo kubaki na viwanja vya watoto kufanya michezo yao.

Majengo ya kwenda juu ni hatari sana kwa wanafunzi, inabidi uangalizi wa hali ya juu. Hawana budi, ni lazima gharama zao ziwe juu.
 
Ali Karume katika huu uamsho wake mpya wa kisiasa kasema Mu-Unguja hawezi hata kupata ardhi Pemba, anabaguliwa, lakini wakienda Bara hakuna maswali, ardhi ubwete, Zanzibar kasema inafaidi Muungano. Akasema siku Watanganyika wakiamka wakaliwasha Zanzibar itakoma kuringa. Ally Karume huyo, wazi wazi.
Ukweli umejulikana
 
Haya ni matokeo tu ya kutokujua kipi ni kipi; Zanzibar inajichukulia ni "sawa" na Tanzania Bara. Katika "usawa" huu basi haya mengine yanatokea. TUmekuwa na hofu ya "kuimeza" Zanzibar... yaani, sidhani kama Zanzibar ingekuwa "nchi huru" ingekuwa na bajeti inayofikia ya JIji la Dar.
Dar waliianzisha wao, usisahau hilo.
 
Halafu tunashangaa matumizi yao yakiwa makubwa.

Pia wanatamanubsanankuwa na shuke za chini kama za kwetu, lakini ardhi yao ndogo, inabidi waende juu ili japo kubaki na viwanja vya watoto kufanya michezo yao.

Majengo ya kwenda juu ni hatari sana kwa wanafunzi, inabidi uangalizi wa hali ya juu. Hawana budi, ni lazima gharama zao ziwe juu.
Nilipomsikia yule waziri anajinqsibu kuhusu shule za ghorofa nikasema bajeti lazima ipae hapa.
 
Mtoa mada unahasira ya nini, bajeti ni makisio ya matumizi kwa mwaka husika kulingana na matarajio ya makusanyo ya kodi kupitia vyanzo mbalimbali vya upatikanaji wa fedha. Ngoja uone kile kiwango halisi cha fedha kitakachokuja kutumika kutekeleza malengo ya bajeti hiyo.

ACHA KIHEREHERE ZANZIBAR INADANYA MAMBO YAKE KWA NAMNA YAKE USIUMIZWE NA MIPANGO TUU.

ZANZIBAR IKO KIMYA MUDA MREFU WAKATI TANGANYIKA INAITAFUNA KWA MAUMIVU MAKALI.

WAZANZIBARI HAWAJAWAHI KUTAMANI KUWA KWENYE MUUNGANO MNAOUONA KUWA WAZANZIBARI WANANUFAIKA NAO HIVI SASA KINACHOWAUMA KATILA NAFSI ZENU KUONA SAMIA ANAJARIBU KUSIMAMIA HAKI NA UWIANO KATIKA MUUNGANO MNAANZA MAKALELE .

MNYAMAZE TUUU.

HAKIKA MUNGU NDIYE HAKIMU WA HAKI
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B.
Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu Tanzania aliomba kuidhunishiwa kias cha Shilingi 1.55Trln.

Nikiwa natambua kwamba Elimu ya Juu ni jambo la Muungano. Lakini Kuna msawal hayana majibu.

1.Idadi ya wanafunzi wote Zanzibar hawafiki lak 5.
2. Idadi ya wanafunzi wa Darasa la saba waliofanya mtihani Zanzibar mwaka jana hawafiki elf 40.
3. Idadi ya wanafunzi Tanzania Bara ni zaid ya milion 10.

Kwa Muktadha huo.
Bajet ya Elimu Zanzibar kwa kila mwanafunzi Zanzibar ni wastani wa Shil 900,000(Laki Tisa), Wakati Tanzania Bara ni shiling 150,000(Laki na Hamsini Elfu)

Swali la kujiuliza, ni kwel Zanzibar inapendelewa au inajiliza ili ipendelewe hasa kwenye maswala kodi za Chakula, vifaa nk?

Juzi tu hapa tunataka kusamehe deni la umeme zaidi ya Bil 60, kwenye nchi inayotuzidi bajeti ya elimu?
Ulisoma Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ,mambo mengi sana ya Zanzibar yametajwa mpaka unaweza jistukia kwamba huyu Waziri wa Zanzibar inakuaje?
 
Zanzobar wanakusanya Tra 250 tu kwa mwaka! Kila kitu Zanzibar wanapewa tu bure yaani ulinzi. Mambo ya elimu juu wabunge. Mambo ya nje ni bure tu! Hawatakiwi wachangie kitu! Ndo Muungano Nyerere alikosea ila kwa sisi wabara ni swala la mda tu haitakuwa hivi
Huu Sasa ni uongo,usisahau ukisikia Tanzania inaongoza Kwa Utalii Africa ujue ni Zanzibar
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B.
Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu Tanzania aliomba kuidhunishiwa kias cha Shilingi 1.55Trln.

Nikiwa natambua kwamba Elimu ya Juu ni jambo la Muungano. Lakini Kuna msawal hayana majibu.

1.Idadi ya wanafunzi wote Zanzibar hawafiki lak 5.
2. Idadi ya wanafunzi wa Darasa la saba waliofanya mtihani Zanzibar mwaka jana hawafiki elf 40.
3. Idadi ya wanafunzi Tanzania Bara ni zaid ya milion 10.

Kwa Muktadha huo.
Bajet ya Elimu Zanzibar kwa kila mwanafunzi Zanzibar ni wastani wa Shil 900,000(Laki Tisa), Wakati Tanzania Bara ni shiling 150,000(Laki na Hamsini Elfu)

Swali la kujiuliza, ni kwel Zanzibar inapendelewa au inajiliza ili ipendelewe hasa kwenye maswala kodi za Chakula, vifaa nk?

Juzi tu hapa tunataka kusamehe deni la umeme zaidi ya Bil 60, kwenye nchi inayotuzidi bajeti ya elimu?
Hizo pesa wanapewa na bitozo kutoka kwa wadanganyika
 
Eeeewa Zanzibar wanashusha shule za ghorofa Ila bongobara haya matoto huwezi kuyapandisha juu hivyo vifo hutotaka usimuliwe, Bora tujenge chini tu
😁😁😁😁 Lakini pia Wabongo wengi uelewa ni zero brain.

Elimu Kwa Tanzania Bara inasimamiwa na Wizara 2,Tamisemi wanaosimamia Nursery Hadi Form 6 na Wizara ya Elimu wanasimamia sana sana universities plus miongozo ya kisera basi ,vyuo vya kati vingine viko kwenye Wizara za kisekta wanavisimamia wao..

Kwa hiyo ukichukua Bajeti ya Tamisemi na ya Wizara ya Elimu unapata zaidi ya Til.10.7
Screenshot_20230601-065535.jpg
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B.
Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu Tanzania aliomba kuidhunishiwa kias cha Shilingi 1.55Trln.

Nikiwa natambua kwamba Elimu ya Juu ni jambo la Muungano. Lakini Kuna msawal hayana majibu.

1.Idadi ya wanafunzi wote Zanzibar hawafiki lak 5.
2. Idadi ya wanafunzi wa Darasa la saba waliofanya mtihani Zanzibar mwaka jana hawafiki elf 40.
3. Idadi ya wanafunzi Tanzania Bara ni zaid ya milion 10.

Kwa Muktadha huo.
Bajet ya Elimu Zanzibar kwa kila mwanafunzi Zanzibar ni wastani wa Shil 900,000(Laki Tisa), Wakati Tanzania Bara ni shiling 150,000(Laki na Hamsini Elfu)

Swali la kujiuliza, ni kwel Zanzibar inapendelewa au inajiliza ili ipendelewe hasa kwenye maswala kodi za Chakula, vifaa nk?

Juzi tu hapa tunataka kusamehe deni la umeme zaidi ya Bil 60, kwenye nchi inayotuzidi bajeti ya elimu?
Pesa yote itatoka bara kwa wajinga
 
Huyu Rais. Tuliyenae anatumia vibaya nafasi yake kuinufaisha Zanzibar.
Mpaka amalize kipindi chake Zanzibar itakuwa kama Dubai, sahivi anataka Rais wa Zanzibar awe na ofisi Ikulu ya Dodoma mara Bagamoyo ni ardhi ya Zanzibar tushituke, fedha zote hizo zitatoka bara kwenda kuijenga Zanzibar tusiwe wajinga tuamke nchi yetu inaliwa hawa wadini wakubwa
 
Back
Top Bottom