Mshtuko: Bajeti ya Wizara ya Elimu Zanzibar ni karibu nusu ya Bajeti ya Elimu Tanzania Bara

Mshtuko: Bajeti ya Wizara ya Elimu Zanzibar ni karibu nusu ya Bajeti ya Elimu Tanzania Bara

Hiko kijiji kinachojiita zanzbar ni kichaka cha samia na genge lake la kuchota fedha za uma na kubarikiana ili badae wale starehe na kuponda mali
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B.
Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu Tanzania aliomba kuidhunishiwa kias cha Shilingi 1.55Trln.

Nikiwa natambua kwamba Elimu ya Juu ni jambo la Muungano. Lakini Kuna msawal hayana majibu.

1.Idadi ya wanafunzi wote Zanzibar hawafiki lak 5.
2. Idadi ya wanafunzi wa Darasa la saba waliofanya mtihani Zanzibar mwaka jana hawafiki elf 40.
3. Idadi ya wanafunzi Tanzania Bara ni zaid ya milion 10.

Kwa Muktadha huo.
Bajet ya Elimu Zanzibar kwa kila mwanafunzi Zanzibar ni wastani wa Shil 900,000(Laki Tisa), Wakati Tanzania Bara ni shiling 150,000(Laki na Hamsini Elfu)

Swali la kujiuliza, ni kwel Zanzibar inapendelewa au inajiliza ili ipendelewe hasa kwenye maswala kodi za Chakula, vifaa nk?

Juzi tu hapa tunataka kusamehe deni la umeme zaidi ya Bil 60, kwenye nchi inayotuzidi bajeti ya elimu?
Zanzibar hapana hizo hela sijui huwa zinaenda wapi mishahara ya walimu na watendaji wao tu huko mkitajiwa hapa mnaweza kimbia wale watu ni pesa wanawapa na majini..
 
Hiyo trilion 1.55 ya wizara ya elimu ya Tz bara,nadhani haijajumuisha bajeti ya shughuli za elimu ya TAMISEM ambayo huwa inatengwa kupitia mamlaka za Serikali za mitaa.
 
Thread nzuri kweli. Ila matusi yakishika hatamu, thread yapoteza mvuto....
Ukitizama kwa jicho lingine, utaona hapo ndipo Muungano ulipofikia. Yaani mambo mengine ni sawa na matusi.
Wakati huo huo, Muungano huu unapoteza mvuto!

Uzuri temehamia DODOMA
 
Nguruvi3 ,Mzee Mwanakijiji Pascal Mayalla na wajumbe wengine wa JF. Karibuni.
Kumradhi kwa usumbufu utakaojitokeza.
Kuna mengi, unaliliona ni sehemu tu. Tatizo ni kizazi kilichopo. Huko nyuma yalitokea haya:
Zanzibar wakata Bara watumie passport. Bara wakasema waje na passport, tangu siku hiyo hakuna tena hoja

A.H Mwinyi akawa anachota mapesa na kuyapeleka Zanzibar, akina Jenerali na G55 wakataka Tanganyika

Historia inajirudia. Kuna masuala yasiyo ya muungano sasa yanafanywa ya muungano.
Mfano, Utunzaji wa nyaraka si suala la muungano kila upande una mamlaka zake.
Mwaka jana Rais Samia kasema mkutano ufanyike Zanzibar, na umefanyika. Lengo ni kupeleka watu zaidi ya 400 kukuza uchumi. Ikiwa ni lazima, ni rahisi kuleta Wazaz 20 . Ndivyo mikutano inavyofanyika siku hizi .

Historia ya Mwinyi inajirudia lakini Samia kapania zaidi, yaani Zanzibar inapewa rasilimali kuliko Arusha, Dodoma, Mwanza, Mtwara, Dar, Mbeya n.k.

Kero za muungano zinamalizwa na Wazanzibar wenyewe Rais Samia na Mwinyi.
Hakuna anayesimamia masilahi ya Tanganyika. Mpango ni rubber stamp tu

Philipo na Maja hawana kauli wanavizia kama zamu yao itafika.Wanapenda masilahi yao kuliko ya Tanganyika.
Ndivyo waziri Makamba anasamehe deni la umeme Zanzibar ili tozo alipe Mtanganyika.

Zanzibar ina watu 1.5 Milioni, na zaidi ya nusu wanaishi bara wakitumia resource za bara kama Elimu.
Bajeti ya muungano inahudumia Wazanzibar walioko Bara bila kubagua.

Mkoa wa Dar es Salaam una watu 6 Milioni , bajeti yake ya elimu ni ndogo kuliko ile ya Zanzibar

Mkoa wa Mwanza una DGP kubwa nchini kwa mujibu wa BoTresorce inazopata ni ndogo kuliko Zanzibar

Mkoa wa Kigoma una watu zaidi ya Zanzibar, bajeti yake ya elimu haifiki hata nusu

Wizara ya ulinzi ina bajeti ya 2.7 T na Bajeti ya Zanzibar ni 2.7 T.

Ikiwa Zanzibar wanaweza kuwa na bajeti ya elimu ya 457B wanashindwaje kuhudumia Wabunge Dodoma?

SMZ inasema hekta 6000 za Makurunge Bagamoyo ni za Wazanzibar. Ali Karume katihibitisha Baba yake aliomba eneo. Kwa historia Makurunge walipewa wafuge ng'ombe. Kauli ya SMZ haikutoka bila msaada wa Rais wa JMT!

Orodha inaendelea, hivyo kusema bajeti yao ya elimu ni kubwa kuna walakini. Ni sawa kabisa kwasababu Wazanzibar hawana bajeti ya Ulinzi, mambo ya ndani, mambo ya nje, na Taasisi zote na wanapata 4.5% ya GDP ya Tanganyika kwa jina la muungano. Ile mikopo wanayopewa anayelipa ni Mtanganyika

Kasome katiba ya 1977, Tanganyika ndiyo Tanzania bara, halafu kuna Tanzania visiwani na Tanzania Zanzibar. Kinachoshindwa kuainishwa ni mambo ya Tanganyika kwa uwazi. Kuna Wapuuzi wa Zanzibar wakiongozwa na OM wanasema Tanganyika haipo! ipo lakini mambo yake yameporwa na neno muungano

Kinachotakiwa kwa Watanganyika si kulalamika au kutegemea viongozi au Wabunge.
Watanganyika chukueni hatua za kutoridhika kama nilivoonyesha vizazi vya miaka hiyo.

Bila kuwa na Tanganyika hakuna atakayesimamia masilahi yenu, na itafika mahali watu wa kule wanalipwa kwa kulala kwa kodi za Tanganyika. Hata sasa hivi kufanya kazi si lazima, bili kama za umeme zinalipwa huko Bara. Kwasasa wazee wanalipwa pensheni? Kwa uchumi upi ?

Kama kuna ulazima wa muungano lazima iwepo Tanganyika na mambo yake yawe wazi na kuwa na viongozi wanaosimamia masilahi ya Tanganyika. Warioba aliona, akaandika draft ya katiba! turudi kule

Mchambuzi JokaKuu Mag3
 
Nikiwa kama mtanganyika sioni Tija yeyote kufungamana na Zanzibar

Zanzibar ni kupe anatunyonya

Sielewi ni kwanini tunamkumbatia kupe asie Tija kwetu.

Hii nchi na muungano wake ni Moja kati maajabu ya dunia
 
Muungano huu ni wa kulazimishwa na watawala,wananchi lzm wapige kura ya maoni kuchagua ama kma wanautaka muungano au hawautaki maana nchi si ya viongoz wachache ni ya wananchi,wakiamua kuwa hawautaki muungano huu wa watawala wachache basi uvunjwe mara moja,mm binafsi si muumini wa muungano huu usio na usawa na unaowanyonya wabara zaid
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B.
Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu Tanzania aliomba kuidhunishiwa kias cha Shilingi 1.55Trln.

Nikiwa natambua kwamba Elimu ya Juu ni jambo la Muungano. Lakini Kuna msawal hayana majibu.

1.Idadi ya wanafunzi wote Zanzibar hawafiki lak 5.
2. Idadi ya wanafunzi wa Darasa la saba waliofanya mtihani Zanzibar mwaka jana hawafiki elf 40.
3. Idadi ya wanafunzi Tanzania Bara ni zaid ya milion 10.

Kwa Muktadha huo.
Bajet ya Elimu Zanzibar kwa kila mwanafunzi Zanzibar ni wastani wa Shil 900,000(Laki Tisa), Wakati Tanzania Bara ni shiling 150,000(Laki na Hamsini Elfu)

Swali la kujiuliza, ni kwel Zanzibar inapendelewa au inajiliza ili ipendelewe hasa kwenye maswala kodi za Chakula, vifaa nk?

Juzi tu hapa tunataka kusamehe deni la umeme zaidi ya Bil 60, kwenye nchi inayotuzidi bajeti ya elimu?
 

Attachments

  • 9355D7FD-0C31-4CED-8BEF-B97FD92F1370.jpeg
    9355D7FD-0C31-4CED-8BEF-B97FD92F1370.jpeg
    23 KB · Views: 2
Nikiwa kama mtanganyika sioni Tija yeyote kufungamana na Zanzibar

Zanzibar ni kupe anatunyonya

Sielewi ni kwanini tunamkumbatia kupe asie Tija kwetu.

Hii nchi na muungano wake ni Moja kati maajabu ya dunia
Wazanzibari ndo hawataki Muuungano kabisa ...
Malalamiko haya yanakuja akiwepo Rais Mzanzibari...
Akija Mtanzania Bara ...hata haya yakifanyika husikii malalamiko....

Wazanzibari wakikataa Muuungano tuwaunge mkono
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B.
Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu Tanzania aliomba kuidhunishiwa kias cha Shilingi 1.55Trln.

Nikiwa natambua kwamba Elimu ya Juu ni jambo la Muungano. Lakini Kuna msawal hayana majibu.

1.Idadi ya wanafunzi wote Zanzibar hawafiki lak 5.
2. Idadi ya wanafunzi wa Darasa la saba waliofanya mtihani Zanzibar mwaka jana hawafiki elf 40.
3. Idadi ya wanafunzi Tanzania Bara ni zaid ya milion 10.

Kwa Muktadha huo.
Bajet ya Elimu Zanzibar kwa kila mwanafunzi Zanzibar ni wastani wa Shil 900,000(Laki Tisa), Wakati Tanzania Bara ni shiling 150,000(Laki na Hamsini Elfu)

Swali la kujiuliza, ni kwel Zanzibar inapendelewa au inajiliza ili ipendelewe hasa kwenye maswala kodi za Chakula, vifaa nk?

Juzi tu hapa tunataka kusamehe deni la umeme zaidi ya Bil 60, kwenye nchi inayotuzidi bajeti ya elimu?
Mtanikumbuka!
 
Sijaelewa tatizo nini?

Hiyo hesabu uliyoweka mbona sioni kinachokaribia nusu hapo? Naona inakaribia moja ya tatu 1/3.

Vipi, hesabu zinakupiga chenga?
Idadi ya watu ya Zanzibar si moja ya tatu (1/3) ya Tanzania bara? Kwahiyo mambo hayako kimzania.
 
Idadi ya watu ya Zanzibar si moja ya tatu (1/3) ya Tanzania bara? Kwahiyo mambo hayako kimzania.
Zanzibar wanaish 3% ya total Tanzanian Population.
Three percent, chini zaid ya
Mwanza, Musoma, Bukoba, Dar es Salaam, nk.
 
Back
Top Bottom