Mshtuko: Bajeti ya Wizara ya Elimu Zanzibar ni karibu nusu ya Bajeti ya Elimu Tanzania Bara

Kosa la Oscar Kambona mwingereza kuratibu Mapinduzi akishirikiana na waingereza wenziwe. Mzigo wa zenji ubwebwe tu
 
Mabrushi waliikomboa zanzbar au waliiteka zanzbar toka kwa mkoloni mwenzao mreno???????? Ukombozi zanzbar ulikuja 1964
 
Alimtuma Mwinyi kuiwakilisha JMT kule Uarabani, halafu Mwinyi akawa anaiongelea Zanzibar tu.
Anajaribu kujipendekeza kwa wazenji ila hawamkubali hata awape nini, wanamuita mbongo tu. Ni kweli safari yake kafanya ya Zanzibar tu, halafu karudi mikono mitupu
 
Zanzibar hapana hizo hela sijui huwa zinaenda wapi mishahara ya walimu na watendaji wao tu huko mkitajiwa hapa mnaweza kimbia wale watu ni pesa wanawapa na majini..
Wanatumia kusambazia u.kimw.i tu, kuna DC mmoja huyo humkosi disco anavowabaka watoto wenye asil ya Tanganyika huku akijulikanwa hali yake tungu akiwa chamani Dodoma kabla hajapata skendo ya kuhonga soda takklu
 
Sababu kuu ya kujenga nyumba za ghorofa huwa ni ufinyu wa eneo, sasa kwetu Maswa shule ya ghorofa ya kazi gani mzee?
Nafahamu hilo vizuri sana, sasa bajeti ya hilo jengo itakuwa sawa na shule yenu huko maswa.
 
Sijaelewa tatizo nini?

Hiyo hesabu uliyoweka mbona sioni kinachokaribia nusu hapo? Naona inakaribia moja ya tatu 1/3.

Vipi, hesabu zinakupiga chenga?
Ume gawanya na population? Au ndio Walimu walio feli kufundisha wengine?
 
Bibi huu ni muda wa kumpa utelezi mumeo. Tafadhari zima data kwa afya ya ndoa yako. Kama namba moja anatoa utelezi ni nani wewe ukeshe mitandaoni badala ya kumkumbatia mumeo?
Hivi madrasa siku hizi hamfundwi kulea ndoa zenu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nafikiri sasa Watanganyika tuidai Tangayika yetu kwa kumaanisha
 
na bado wanavuta mkia
 
Tuiache ijitegemee
 
Ataondoka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…