Ok. Mimi kwa upana zaidi naona MIZIMU ni mikataba (maagano) waliyoingia mababu na majini. Na kwa kuwa mababu wenyewe washakufa na mkataba unaendelea kusoma. Majini yanaexecute yale ambayo yanatakiwa kufanyika. Mfano binaadam wasipotoa sadaka waliyokubaliana, wanapata madhara stahiki (penalty). So Mizimu ni mambo ya kujitakia yaliyosababishwa na tamaa na ujinga wa mababu.
Na ndio maana unakuta sio kila jamii ina hayo mambo ya mizimu. Kuna wengine hawakuingia hayo maagano. Ila kwa wale ambao waliingia ndio shida haziishi.