mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Kwa ukongwe wangu kulikuwa na aina tatu za kupashana khabari kama member amefariki.
1. Kutaja ID peke yake.
2. Kutaja jina peke yake
3. Kutaja jina na ID
Hizo mbili za juu ndizo zilitumika zaidi tangu asili ya JF na member tulikuwa tunazipokea tuu
Pumzika kwa Amani Afisa Utumishi Kyela wa Zamani
1. Kutaja ID peke yake.
2. Kutaja jina peke yake
3. Kutaja jina na ID
Hizo mbili za juu ndizo zilitumika zaidi tangu asili ya JF na member tulikuwa tunazipokea tuu
Pumzika kwa Amani Afisa Utumishi Kyela wa Zamani