Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,914
- 2,630
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tuache ku guess mazeee...Tena 54 mins ago[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tuache ku guess mazeee...Tena 54 mins ago[emoji23]
Asante mkuu. Na wewe piaR.i.p
Mudawote si yuko kifuani mwa mtu sasa hivi huko tandaleUnakuta kumbe yeye ndiye Mudawote
Mwendazake MpyaR I P
jina lake la nyuma ya keyboard ni lipi hapa JF?
Kupendwa kwa kuzushiwa kifo?Mbona unapendwa sana Jf mzee mwenzangu, nipe siri ya mahaba haya...
RIP Mwanajamii....Kuna Msiba mkubwa umetokea MSD na mwenzetu alikuwa JF member wa miaka mingi.
Poleni sana sana JF , familia na ma rafiki kwa Msiba mkubwa uliopo kwa..View attachment 2261033
Hii kauli haina ukweli wowote kwa sisi tuliomwamini Kristo Yesu Bwana ambaye atakuja kutunyakua muda wowote na kukaa naye milele. Maana yake ni kwamba Yesu akija sasa hivi kitakachofanyika ni mwili wangu kubadilika kufumba na kufumbua na kuvaa mwili wa utukufu kisha kumlaki Bwana mawinguni. 1WAKORINTHO 15:52,. 1 WATHESALONIKE 4:13-17. sasa hayo mauti nitakuwa nimeyaonja wapi sasa.Kila nafsi itaonja mauti. Apumzike kwa amani
Bwana ametoa Bwana Ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe!Kuna Msiba mkubwa umetokea MSD na mwenzetu alikuwa JF member wa miaka mingi.
Poleni sana sana JF , familia na ma rafiki kwa Msiba mkubwa uliopo kwa..View attachment 2261033
Unataka kutuambia wamemhujumu baada ya kutoa hizo recommendations, au ...Hivi ndie aliyeleta recommendations za Madaktari na Pharmacists kuhusu utoaji wa dawa? najua mmesema tusiulize, ila ni nature ya mwanadamu kuuliza...
Kuna Msiba mkubwa umetokea MSD na mwenzetu alikuwa JF member wa miaka mingi.
Poleni sana sana JF , familia na ma rafiki kwa Msiba mkubwa uliopo kwa..View attachment 2261033
Usinilishe maneno ukaniletea matatizo bure.Unataka kutuambia wamemhujumu baada ya kutoa hizo recommendations, au ...
Jesus is Savior