TANZIA Msiba mkubwa MSD na member wa JF: Erick Betram Mapunda afariki dunia

Waliokufa wamekosa hiyo fursa
 
Waliokufa wamekosa hiyo fursa
Ila wote waliokufa katika Kristo (walioupokea wokovu) nao kwa sasa huko waliko wako na Bwana, paradiso wako katika raha isioelezeka, tofauti na sisi huku tunapambana na kila gumu la maisha haya. LUKA 23:43


JESUS IS LORD
 
ili iweje? Unataka uanze kumsimanga marehemu.

Kwa hilo utasubiri sana hutopewa jibu.
Basi abadili HEADING asiweke MEMBER MWENZETU...mngeandika tu blah blah MSD ingetosha...
ALLAH AMLAZE PANAPOSTAHILI.
 
Uamuzi wa JF member kufahamika hapa jukwaani kwa ID sanjari na jina lake halisi ni wa kwake mwenyewe. Kama ameondoka bila kufanya hivyo, hakuna mtu mwingine mwenye haki ya kufanya hivyo kwa niaba yake!
Ungetaja tu ID yake bila jina lake la kiserikali mkuu, ila kwakua ushataja majina yakiserikali hakuna haja ya kutaja ID yake ya humu
 
Ni lazima ufeeeeeeeee.
 
Hvi huyu ni ndugu na yule Prof wa udsm mwenye jina km hilo mpenda ishu ishu??
 
Ila wote waliokufa katika Kristo (walioupokea wokovu) nao kwa sasa huko waliko wako na Bwana, paradiso wako katika raha isioelezeka, tofauti na sisi huku tunapambana na kila gumu la maisha haya. LUKA 23:43


JESUS IS LORD
Unaugua akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…