inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Waliokufa wamekosa hiyo fursaHii kauli haina ukweli wowote kwa sisi tuliomwamini Kristo Yesu Bwana ambaye atakuja kutunyakua muda wowote na kukaa naye milele. Maana yake ni kwamba Yesu akija sasa hivi kitakachofanyika ni mwili wangu kubadilika kufumba na kufumbua na kuvaa mwili wa utukufu kisha kumlaki Bwana mawinguni. 1WAKORINTHO 15:52,. 1 WATHESALONIKE 4:13-17. sasa hayo mauti nitakuwa nimeyaonja wapi sasa.
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
Duh kumbe ni Hasegawa! Tunapoteza wadau muhimu humu bila taarifa.RIP Pno Hasegawa!
Shushu VIP...
Ila wote waliokufa katika Kristo (walioupokea wokovu) nao kwa sasa huko waliko wako na Bwana, paradiso wako katika raha isioelezeka, tofauti na sisi huku tunapambana na kila gumu la maisha haya. LUKA 23:43Waliokufa wamekosa hiyo fursa
Basi abadili HEADING asiweke MEMBER MWENZETU...mngeandika tu blah blah MSD ingetosha...ili iweje? Unataka uanze kumsimanga marehemu.
Kwa hilo utasubiri sana hutopewa jibu.
R.I.P MPAMBANAJIKuna Msiba mkubwa umetokea MSD na mwenzetu alikuwa JF member wa miaka mingi.
Poleni sana sana JF , familia na ma rafiki kwa Msiba mkubwa uliopo kwa..View attachment 2261033
Ungetaja tu ID yake bila jina lake la kiserikali mkuu, ila kwakua ushataja majina yakiserikali hakuna haja ya kutaja ID yake ya humuUamuzi wa JF member kufahamika hapa jukwaani kwa ID sanjari na jina lake halisi ni wa kwake mwenyewe. Kama ameondoka bila kufanya hivyo, hakuna mtu mwingine mwenye haki ya kufanya hivyo kwa niaba yake!
Ni lazima ufeeeeeeeee.Hii kauli haina ukweli wowote kwa sisi tuliomwamini Kristo Yesu Bwana ambaye atakuja kutunyakua muda wowote na kukaa naye milele. Maana yake ni kwamba Yesu akija sasa hivi kitakachofanyika ni mwili wangu kubadilika kufumba na kufumbua na kuvaa mwili wa utukufu kisha kumlaki Bwana mawinguni. 1WAKORINTHO 15:52,. 1 WATHESALONIKE 4:13-17. sasa hayo mauti nitakuwa nimeyaonja wapi sasa.
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
GENTAMYCINE na Mshana Jr tafahali tunahitaji maoni yenu hapa. Tafadhali ni muhimu sana.Sidhani kama ni vyema....hataki aache kiherehere cha kutangaza misiba ya members humu. Kwa kawaida JF msiba hutangazwa kwa ID sio jina halisi......je kama ni mshana Jr kafa au gentamycine?
Kuna Watu hapa JamiiForums sijui huwa wana hamu tu na 'Shahawa' zangu zilizotukuka, ila Kusema tu huwa hawawezi!!!GENTAMYCINE na Mshana Jr tafahali tunahitaji maoni yenu hapa. Tafadhali ni muhimu sana.
Unaugua akiliIla wote waliokufa katika Kristo (walioupokea wokovu) nao kwa sasa huko waliko wako na Bwana, paradiso wako katika raha isioelezeka, tofauti na sisi huku tunapambana na kila gumu la maisha haya. LUKA 23:43
JESUS IS LORD
Wewe Babu sikuhizi una majibu ya kihuni... Vipi umesharudi Njombe kwenye kitumbua/kipochi manyoya?Kuna Watu hapa JamiiForums sijui huwa wana hamu tu na 'Shahawa' zangu zilizotukuka, ila Kusema tu huwa hawawezi!!!
Kwani yule Alikuwa MSD ?Hivi ndie aliyeleta recommendations za Madaktari na Pharmacists kuhusu utoaji wa dawa? Najua mmesema tusiulize, ila ni nature ya mwanadamu kuuliza...