Msiba SUA

Msiba SUA

Kerpp

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
58
Reaction score
10
Mwanafunz wa kiume mwaka wa tatu afariki dunia ghafla saa3 alfajil, baada ya kutoka disc na kujisikia vibaya na kufariki papo hapo, anatokea Tarime (LYOBA), R.I.P ndugu yetu.
 
yatupasa kukumbuka kwamba si sote niwa mwenyezi mungu na malejesho yetu ni huko so tujipange
 
Ahsante ndg' japo ktk msafara wao uck wa leo wamevamiwa na majambaz na kuporwa kila kitu na wengine wameumia wako hospitaln' dah M/MUNGU tusaidie waja wako'
 
duh poleni wadau,,nakumbuka mwaka 2011 mwanzoni tuliagwa na mwanachuo wa kiume aliyetokea kigoma alikuwa ni mzee mkubwa tu mwenye familia.MUNGU AZILAZE ROHO ZAO MAHALI PEMA PEPONI,AMEN
 
jana usiku ilikuwa wanafunzi wa mzumbe leo asubuhi sua kesho kama sio MUM sijui..

RIP mura...
 
Back
Top Bottom