Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #41
Iceman,Sawa
Nimekuelewa mzee
Basi na omba utu letee hilo timbwili la 1958, au kama ulosha andika hapa naomba
Unijuze uzi uli uitaje ili ni some pia
Historia ya TANU ina mambo kaka.
Ushauri wangu kwako ni wewe kusoma kitabu cha Abdul Sykes
kipo cha Kiingereza (London 1998) na cha Kiswahili (Nairobi 2002).
Nikisema nikuwekea hapa link nitakuwekea ngapi?