mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
😱 !Kikwete aligawa billion 300 za tanesco, eti sio za serikali huyo jamaa ni bonge la fisadi Richmond walipiga wote ila zigo alibebeshwa Waziri mkuu Ili kuiokoa serikali yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😱 !Kikwete aligawa billion 300 za tanesco, eti sio za serikali huyo jamaa ni bonge la fisadi Richmond walipiga wote ila zigo alibebeshwa Waziri mkuu Ili kuiokoa serikali yake
Noma sanaHakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.
Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.
Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.
Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.
Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.
si kweli,Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.
Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.
Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.
Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.
Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.
Alimchagua kua waziri mkuuAmeufanya msiba uwe mkubwa kiviipi?
Pumba..so ulitaka Lowasa aamke ndo amtaje kikwete?,he is no more but familia ilipaswa kutambua kama ilivyowatambua wengine...mzee alizingua alikiuka makubaliano acha kujambajamba kwenye mapovu bro.Kikwete ni rafiki wa Hayati Lowassa au familia ya Lowassa? Asiyejua maana haambiwi maana..
Kama Kikwete na Lowassa ndio walikuwa marafiki ,familia hata imtaje au isimtaje haifuti urafiki wao na pia familia ndio inatakiwa itambue ni Kikwete ndio amefanya mzee akazikwa kwa heshima hivyo Kwa sababu ya kuteuliwa Uwaziri mkuu.
Kama utaendelea kushabikia vitu vidogo vidogo na kuacha kujadili mambo makubwa tutakuwa hatuna namna zaidi ya kukupuuza
Huu anakwenda nao Kaburini kaka niamini...ukimkosea mtu afu akatangulia mbele za haki ni hatari sana,!ajuto yake ni makubwa na maumivu yake hayabebeki.Huu ni upepo tu utapita
Huyu mwamba ameshakwepa mishale mingi sana
Nyie WAMAREKANI HAMJUI TUACHIENI WATANZANIA #achakujitoaakiliKosa la Kikwete kwa Lowassa ni nini?
Kwani lowasa wakati anamsaidia kikwete aingie madarakani Kwa sababu ni rafiki yake ilikaaje???Kwa hiyo mlotaka ampe urais kisa ni rafiki yake? Thank u kikwete uliangalia maslahi mapana ya nchi kuliko kujali uswahiba nchi itumbukie shimoni japo jpm ndo alikuwa rais mbovu sana kuwahi kutokea Dunia hii
We talk about agreements bro..Kikwete hakuwa pale kwa ajiri ya kugawa uraisi
Sawa MPUUZI MWENZETU...naona kisu kimegonga mfupa [emoji23]M
Mnaongea vitu ambavyo hamjui kweli nimeamini jamii forum ni forum ya walala ho,wanafiki,wazandiki na wajinga hauwezi ona mtu anauejielewa akitumia huu mtandao wa kipuuuzi! I' m off mbakie wapuuzi wenyewe
Ndo unaitwa accumen MO siyo?...sante Kwa shudu.Atajwe au asitajwe haina maana kwanza hata angepanga asiende kabisa hakuna kitu mngefanya...Kila kitu mnaleta uchambuzi sio kila sehemu ni siasa .
Akifa Kikwete mtaanza kuwasema wengine .
Alikosea sana. Urais siyo pipiKwani lowasa wakati anamsaidia kikwete aingie madarakani Kwa sababu ni rafiki yake ilikaaje???
Huko kaburini ni safari ya kila mtu ni suala la muda tu na ukizingatia tayari yeye ni mtu mzima yupo kwenye 70sHuu anakwenda nao Kaburini kaka niamini...ukimkosea mtu afu akatangulia mbele za haki ni hatari sana,!ajuto yake ni makubwa na maumivu yake hayabebeki.
Siyo lazima kila mtu afe. Kuna wengine hatutakifa kabisaHuko kaburini ni safari ya kila mtu ni suala la muda tu na ukizingatia tayari yeye ni mtu mzima yupo kwenye 70s