Msiba wa Mafuru wa leo Karimjee sijaona mnyonge

Msiba wa Mafuru wa leo Karimjee sijaona mnyonge

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
 
Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Hao wote next year tutawapitisha hapo hapo,wengi wagonjwa
 
Ukisikia mtu anazikwa na watu wake ndio hivyo. Hata atakayeongoza ibada ya mazishi naye atakuwa mtu mzito wa kariba yake. Malizia na hilo kaburi lake nalo litakuwa si la mavumbi/udongo, ni la marumaru ndani mpaka nje. Kapuku naye huzikwa na makapuku wenzake na kaburi lake nalo ni la kikapukukapuku
 
Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Japo picha
 
Na hao ulio wataja wote watakufa na watazikwa na hao wanyonge!
20230808_191943.jpg
 
Back
Top Bottom