kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
JIULiZe maofisin mwamba kakata wangapi na nje.....Ila HIV ni shida Kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JIULiZe maofisin mwamba kakata wangapi na nje.....Ila HIV ni shida Kwa sasa
Dah aisee...[emoji3518][emoji3519][emoji732][emoji3544] Hatari.JIULiZe maofisin mwamba kakata wangapi na nje.....
Huu ndio ujinga wa mwafrika..kwamba huwez kufurahia utajir wako bila kutombah ovyo ..CEO wa kempensk lazima afike ,mteja kwaheri hataona Tena mademu wakali wakiingia au kupata ofa
Hapo ndopenyewe mkuuLeo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Kwani Steve nyerere hakuepo?Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Usawa wa binadamu upo hapo, pamoja na kukata roho tu!baada ya siku 3 ana Pasuka shimoni
Usijali ATAFUFUKA KESHO KWA HILO MKUU!Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Nawaonea huruma watoto. Bado wadogo sana.Jambo zuri zaidi,
Ndani ya siku 3 kila mtu atakusahau na atakua bize na mishe zake.
wengine wataanza kwenda mara kwa mara kumpa pole mjane huku wakiangalia namna ya kujiweka.
Uzuri wa kifo hakichagui cheo,jinsia, kabila, dini, rangi, uwezo, umaarufu, uzuri.nk
hakuna baunsa wa kifo hata wale watekaji na watesi ikifika siku unakwenda.
Kina nani hao?Humu ndio wamezikwa wale washenzi waliotwa dunia na kutufanya watumwa na kuedeleza ukoloni duniani...
View attachment 3152537
Acha Mwenyezi Mungu aitwe Mungu. Nasikia Pele amezikwa ghorofani. Wanaoishi chini ya hilo ghorofa wanaweza kutuambia kama bado anapupu huko hewani au la....Hakuzikwa, Futi Sita Chini ?? ...au amezikwa Hewani ???....
Mwananchi wameandika marehemu alifariki na ugonjwa wa kansa ya damu.Ila HIV ni shida Kwa sasa
Haiishindi saratani iliyomuua. HIV unakula vidonge na unadunda, niambie saratani ina dawa gani kama si kufa ukijiona?Ila HIV ni shida Kwa sasa
WaTz ndio wanapifarijika hapo. Roho mbaya inawasaidia nini sijui?!Mwananchi wameandika marehemu alifariki na ugonjwa wa kansa ya damu.
Acha kupotosha
Nani amekuruhusu kutumia neno Hayati? Mafuru ni marehemu tu kama tutakavyokuwa sisi hana sifa ya kupewa uhayati!Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
ni mtu wa high profile broLeo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!