Msiba wa Mafuru wa leo Karimjee sijaona mnyonge

Msiba wa Mafuru wa leo Karimjee sijaona mnyonge

Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Kaburi tumelichimba sisi wanyonge.
 
Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Lakini kafa ............mwendazake ,mkapa ,nyerere waliagwa na watanzania wote kuanzia matajiri mpaka masikini lakini.........lakini ndio hivyo buriani
 
Haiishindi saratani iliyomuua. HIV unakula vidonge na unadunda, niambie saratani ina dawa gani kama si kufa ukijiona?
Hivi mtu anapata faida gani kuzushia mtu ugonjwa? Sijui alimpima yeye au la. Anajuaje kama alikuwa na HIV?
Kila mtu maarufu akifa utasikia HIV. As long as uko sexual active kabla hujafa unaweza kupata HIV.
 
Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Hakuna cha maana hapo hata angekuwepo bill gate na elon musk ni show off tu. Huyo Kafa tu kama tu raia wa mbagala na vingunguti nothung special
 
Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Kuna kiongozi mmoja kutoka ofcn kwetu baada ya kutoka kule Karimjee mshkaji mmoja akamuuliza mbona hawajasafirisha kwenda kuzika kwao, alichotuambia tu namnukuu "Jengeni kwenu, jengeni kwenu" mwisho wa kunukuu!!
 
Back
Top Bottom