Msiba wa Mafuru wa leo Karimjee sijaona mnyonge

Msiba wa Mafuru wa leo Karimjee sijaona mnyonge

Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!

acha tu wanadamu wafe. Kiburi cha uzima kwishney!
 
Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
....Hakuzikwa, Futi Sita Chini ?? ...au amezikwa Hewani ???....
 
Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Hakuona mnyonge!?Wewe ulijiweka kundi lipi?
 
Jambo zuri zaidi,
Ndani ya siku 3 kila mtu atakusahau na atakua bize na mishe zake.
wengine wataanza kwenda mara kwa mara kumpa pole mjane huku wakiangalia namna ya kujiweka.
Uzuri wa kifo hakichagui cheo,jinsia, kabila, dini, rangi, uwezo, umaarufu, uzuri.nk

hakuna baunsa wa kifo hata wale watekaji na watesi ikifika siku unakwenda.
 
Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Usiogope Mkuu ndio ilivyo nature. Work hard and do what is right na wewe utakuwa na hadhi yako kwenye huu ulimwengu.
 
Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.

Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!

Nampa sifa zake Marehemu Mafuru. He was a man and a half. Personally, sikuwahi kujuana wala kuwa karibu naye.
Ila ujasiri wa kuwakutanisha wanasiasa wote wale. Wafanyabiashara. Wasabato wenzake. Na watunza fedha kwenye mabanki na kada nyingine nyeti, sio kitu kidogo hata siku moja. Na sio kitu rahisi kama tunavyodhani. The man had something special.

In my thinking, that something special is to be the banker of his caliber. Standard Chartered to NBC and later working for the government. Is it not interesting? Kuna button alibonyeza ikatema dhahabu 😂 😂 😂 😂 😂

This keeps reminding me about the severity of death. Death has robbed one of our dearest sons, with the ever-perpetual dreams of continuing to evolve.

It also reminds me the necessity of ensuring at the core of my existence, I should treasure education and knowledge. I should treasure being a man of deeds and not empty words. It is dictating to me about the fact that constantly and consistently I must recharge my intellectual batteries. That is the only thing that will make it possible to assemble people of different backgrounds and make them cry in front of my coffin. Ingawa wengine walikuwa wanaonyesha matoleo ya suti mpya duniani

Rest well, Mr. Mafuru
 
Back
Top Bottom